NdiyoTeh teh, hii style yako mpya mbona haiko kwenye taratibu zinazojulikana au wewe tu ndio unajua?
Kama kuna kundi flani umelilenga sawaWewe hukopi wala hukopeshi, Pilipili usizokula zakusumbua nini? Idiocy!.
Wkati unahangaika na ramli hapa, tayari nina watu 3 inbox wanahitaji link. Kama wwe hayakuhusu, waachie wahusika. Tabu ya nini?Kama kuna kundi flani umelilenga sawa
Ngoja niishie hapa .
Mtu makinj haingii kwenye mtego kama huu.
Una makasiriko sana na too much ku ji defend whyNdiyo
Njoo pm tufanye Biashara mkuuNdugu zangu, nimefikiwa na watu wanahitaji shilingi milioni tano (5,000,000) kwa shughuli za kibiashara. Wanasema wako tayari kulilpa mkopo huo kwa riba ya miezi miwili. Nilipowahoji, ili kuwasaidia, wakasema
1) Wanamazao yao ya biashara wanatakiwa kuyaweka sawa na kuyafikisha sokoni kabla mvua haijakolea.
2) Wanahitaji shilingi milioni tano kwa mpigo na kwa haraka.
3) Wana mtu mmoja anayewaelewa na hivyo ametoa nyumba yake iwadhamini katika mkopo huo.
4) Wamejaribu kutafuta kwa wakopeshaji binafsi wanaambiwa wanatakiwa kuwa na dhamana ya gari ambapo ili wapate huo mkopo, hitaji ni kwamba wapeleke gari la dhamana lika paki kwa mkoopeshaji na hati ya gari, na waandikishiane kwamba gari hilo wamemuuzia mkopeshaji, eti ili kama wasipolipa auze chapu chapu. Bahati mbaya hawana mtu mwenye gari miongoni mwao. Mazao hayo wanategemea yawasimamishe.
Kwa kuwa mimi sina uwezo wa kuwakopesha, nimeona nilete hapa jamvini. Kama kuna mtu mwenye nia ya kutoa mkopo huo bila hila, kwa utaratibu wa wazi kwamba miezi 2 alipwe na riba yake, la sivyo nyumba ya dhamana iwe halali yake, naomba ani inbox, ili nimuunganishe na hao wateja.
Natanguliza Shukrani.
Lugha ipi inaielewa vizuri?Una makasiriko sana na too much ku ji defend why
Naona una makasiriko mengi na mjuaji watu huku wanaku zoom tuLugha ipi inaielewa vizuri?
Do you think I am at tht level? What exactly do you want from me, woman? My thread was neither for discussion nor a tour center for low mindsets. It was straightforward a request on trying to help my esteemed customers whom I could not serve. Are you emotionally beaten? Find something else rather than clinging on my neck for things that are even not in your capacity.Naona una makasiriko mengi na mjuaji watu huku wanaku zoom tu
Una hasira sana [emoji23][emoji23][emoji23] I want to bite ur kengelez[emoji23][emoji23][emoji23]Do you think I am at tht level? What exactly do you want from me idiot?
Yaani umeshindwa kwenda kwenye taasisi za mikopo huko kwa wenye fani, umetuletea sisi tusio na fani na bado unatuchamba.
Sasa kama unajua inabidi mtu awe na fani kwanini usiende huko kwenye taasisi husika?
Una hasira sana [emoji23][emoji23][emoji23] I want to bite ur kengelez[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mhhh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha enzi za utoto, ukigombana na mdada anawahi kushika kengele na ugomvi umeisha.
Kazi ipoMuanzisha uzi sio muhitaji mkopo
Muweka dhamana ya nyumba sio mchukua mkopo.
Kuna jambo halipo sawa hapa.