Mkopo wa gari

AfricaUnited

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2010
Posts
2,367
Reaction score
1,293
Habari wanajamvi,

Kutokana na bei za magari zimepanda sana, nahitaji kununua gari used la mkononi/yaliyotumika tanzania lenye hari nzuri. Bei kuanzia mil 7 hadi 12.

Wapi ntapata wanakokopesha magari used kwa rejesho la kila mwezi.

Uwezo kurejesha laki 5 hadi 8 kwa mwezi. Na natanguliza mil 6 kwanza

Yard nyingi wanakopesha yanayotoka nnje tu.
 
Kama una million 6 za kuanzia tafta jipya tu. Nenda pale JAN International kuna ractis hadi za million 9 chasis number bora ukawekeshe hela kule.
 
Kama una million 6 za kuanzia tafta jipya tu. Nenda pale JAN International kuna ractis hadi za million 9 chasis number bora ukawekeshe hela kule.
JAN wanakubali kuwekesha mkuu na kwa muda gani hata miaka miwili inafika?
 
JAN wanakubali kuwekesha mkuu na kwa muda gani hata miaka miwili inafika?

Miaka 2 unaekeza gari ya 12 mil?[emoji2305]

Mkuu jipange kwanza nazani wakati bado

Gari sio assets.linaweza kukupoteza kiuchumi kama umelega lega
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…