Habarini wanajamvi
Mimi ni mfanyakazi mpya sehemu flani kwa mwezi wa 5 sasa ila nimeting'wa na ishu ya haraka inahitaji hiyo pesa.
Kama kuna anaeweza kunikopesha kwa makubaliano genuine yenye riba au kunielekeza wapi naweza kuipata kwa haraka Kwasababu hii ni serious case,naomba pia walio serious wanisaidie.
Tafadhali naomba uniPM
Asanteni sana!
Mimi ni mfanyakazi mpya sehemu flani kwa mwezi wa 5 sasa ila nimeting'wa na ishu ya haraka inahitaji hiyo pesa.
Kama kuna anaeweza kunikopesha kwa makubaliano genuine yenye riba au kunielekeza wapi naweza kuipata kwa haraka Kwasababu hii ni serious case,naomba pia walio serious wanisaidie.
Tafadhali naomba uniPM
Asanteni sana!