Mkopo wa Trilioni 1.3 ni zigo la Tanganyika, mashaka ya Ndugai yataeleweka badae

Mkopo wa Trilioni 1.3 ni zigo la Tanganyika, mashaka ya Ndugai yataeleweka badae

Ranger9

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2021
Posts
1,613
Reaction score
3,002
Ugomvi wa Ndugai na Samia na akina Mwigulu haupo kwenye mkopo wenyewe hasa bali "Mgawanyo" wake ambao umeipendelea Zanzibar kwa kiwango cha kukufuru

Na ni wepesi wa kusahau, lakini Ndugai alikwishaelezea dukuduku lake siku ya kwanza tu wakati wa "Sherehe za Kupokea Mkopo"

Kwamba haiwezekani, jimbo la Kongwa lenye watu 470,000 wapate mgawo sawa na Jang'ombe or whatever lenye watu 4000 au 6000, hakuna haki hapo.

Zanzibar wamepokea a lion's share of the loan amount, yet Tanganyika ndo tutalipa mkopo

Ndugai ni mwovu na mimi binafsi namwombea mabalaa yamkute, lakiniiii....BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA
 
Wamekopa trillion 10 ndani ya miezi 9, msiseme trillion 1.3 tu, kwani hizo zingine sio pesa? Tena kwa miradi ya madawati na inayofanania na hiyo. Huo mkopo Zanzibar walipe share ya hilo deni sawia na mgao waliopata, si haki kubebeshana mizigo ya wala urojo
 
Ugomvi wa Ndugai na Samia na akina Mwigulu haupo kwenye mkopo wenyewe hasa bali "Mgawanyo" wake ambao umeipendelea Zanzibar kwa kiwango cha kukufuru

Na ni wepesi wa kusahau, lakini Ndugai alikwishaelezea dukuduku lake siku ya kwanza tu wakati wa "Sherehe za Kupokea Mkopo"

Kwamba haiwezekani, jimbo la Kongwa lenye watu 470,000 wapate mgawo sawa na Jang'ombe or whatever lenye watu 4000 au 6000, hakuna haki hapo.

Zanzibar wamepokea a lion's share of the loan amount, yet Tanganyika ndo tutalipa mkopo

Ndugai ni mwovu na mimi binafsi namwombea mabalaa yamkute, lakiniiii....BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA
Kati ya 1.3 trillion zilizotumika Bara ni 512 bilioni, billion 800 zimeenda wapi hili linahitaji mjadala.
Zanzibar inakula keki ya taifa, wadanganyika tumelala.
 
Wamekopa trillion 10 ndani ya miezi 9, msiseme trillion 1.3 tu, kwani hizo zingine sio pesa? Tena kwa miradi ya madawati na inayofanania na hiyo
Ila watanzania wengi wajinga sana! Badala kuhoji vizuri wanamsakama Ndugai! Yaani hatujui hata tunahitaji nini? Kama mtu inasemekana kakopa trillion 10 ndani ya miezi tu na kapeleka pesa nyinyi Zanzibar kwa nini tusihoji? Tundu Lisu kaonekana kuunga mkono hoja za Ndugai hapo wanatofautiana kwenye mambo mengi! Ila WADANGANYIKA wao hawahoji wanamsakama Ndugai!
 
Ugomvi wa Ndugai na Samia na akina Mwigulu haupo kwenye mkopo wenyewe hasa bali "Mgawanyo" wake ambao umeipendelea Zanzibar kwa kiwango cha kukufuru

Na ni wepesi wa kusahau, lakini Ndugai alikwishaelezea dukuduku lake siku ya kwanza tu wakati wa "Sherehe za Kupokea Mkopo"

Kwamba haiwezekani, jimbo la Kongwa lenye watu 470,000 wapate mgawo sawa na Jang'ombe or whatever lenye watu 4000 au 6000, hakuna haki hapo.

Zanzibar wamepokea a lion's share of the loan amount, yet Tanganyika ndo tutalipa mkopo

Ndugai ni mwovu na mimi binafsi namwombea mabalaa yamkute, lakiniiii....BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA
Kamwe mgawaji hajipunji hiyo ni kanuni ya dunia .. Kama mamlaka iko chini ya ndugu wawili ... Je unadhani wanaweza kujipunja?
 
Na huyo mtu wako kwenye picha hapo alikopa 13trillion ndan ya miezi 12 2016/2017 na hatukuona la maana alicho fanyia mkopo huo
Hakuna la maana unauhakika? Mama kakopa trillion 10 kafanya nini cha maana kama gharama za manisha ziko juu kama kawaida! Kajenga madarasa sawa je ubora uko sawa? Je trillion 8.7 zimefanya kazi gani?
 
Kati ya 1.3 trillion zilizotumika Bara ni 512 bilioni, billion 800 zimeenda wapi hili linahitaji mjadala.
Zanzibar inakula keki ya taifa, wadanganyika tumelala.
Aiseee. Mtu kwao
 
Hii mikopo ya pupa kwa mgongo wa jamhuri ya muungano inayolenga kuijenga zanzibar haiwezi kuwa haki hata kidogo........bora mama ashauriwe 2025 agombee zanzibar......
Mmeshachelewa...mwacheni mama awatumikie watanzania.
 
Ugomvi wa Ndugai na Samia na akina Mwigulu haupo kwenye mkopo wenyewe hasa bali "Mgawanyo" wake ambao umeipendelea Zanzibar kwa kiwango cha kukufuru

Na ni wepesi wa kusahau, lakini Ndugai alikwishaelezea dukuduku lake siku ya kwanza tu wakati wa "Sherehe za Kupokea Mkopo"

Kwamba haiwezekani, jimbo la Kongwa lenye watu 470,000 wapate mgawo sawa na Jang'ombe or whatever lenye watu 4000 au 6000, hakuna haki hapo.

Zanzibar wamepokea a lion's share of the loan amount, yet Tanganyika ndo tutalipa mkopo

Ndugai ni mwovu na mimi binafsi namwombea mabalaa yamkute, lakiniiii....BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA
Mtaongea yote ila ndio hivyo mumeshabanwa kende.
 
Ugomvi wa Ndugai na Samia na akina Mwigulu haupo kwenye mkopo wenyewe hasa bali "Mgawanyo" wake ambao umeipendelea Zanzibar kwa kiwango cha kukufuru

Na ni wepesi wa kusahau, lakini Ndugai alikwishaelezea dukuduku lake siku ya kwanza tu wakati wa "Sherehe za Kupokea Mkopo"

Kwamba haiwezekani, jimbo la Kongwa lenye watu 470,000 wapate mgawo sawa na Jang'ombe or whatever lenye watu 4000 au 6000, hakuna haki hapo.

Zanzibar wamepokea a lion's share of the loan amount, yet Tanganyika ndo tutalipa mkopo

Ndugai ni mwovu na mimi binafsi namwombea mabalaa yamkute, lakiniiii....BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA
Mtoa mada wewe ni fala ,kwanza aliyeweka kanuni ya mgawanyo wa 21 vs 89 ni Zanzibar?
 
sawadakta shekh wangu umesema kweli, huu gawanyo umesainiwa zamani sana tena kwa hi yari sasa mlitegemea nini?
saiv vinavyofanyika ni vitendo

mnaanza akupiga kelele
 
Kati ya 1.3 trillion zilizotumika Bara ni 512 bilioni, billion 800 zimeenda wapi hili linahitaji mjadala.
Zanzibar inakula keki ya taifa, wadanganyika tumelala.
Labda ndo walitumia kulipa matured loans kujipa relief ya debt distress.......je, hii inaashiria kwamba mzigo wa madeni umekuwa mkubwa kwa serikali kuweza kuhimili (zingatia maneno 'debt distress')............
 
Ugomvi wa Ndugai na Samia na akina Mwigulu haupo kwenye mkopo wenyewe hasa bali "Mgawanyo" wake ambao umeipendelea Zanzibar kwa kiwango cha kukufuru

Na ni wepesi wa kusahau, lakini Ndugai alikwishaelezea dukuduku lake siku ya kwanza tu wakati wa "Sherehe za Kupokea Mkopo"

Kwamba haiwezekani, jimbo la Kongwa lenye watu 470,000 wapate mgawo sawa na Jang'ombe or whatever lenye watu 4000 au 6000, hakuna haki hapo.

Zanzibar wamepokea a lion's share of the loan amount, yet Tanganyika ndo tutalipa mkopo

Ndugai ni mwovu na mimi binafsi namwombea mabalaa yamkute, lakiniiii....BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA
Tumeelewa hivyo chuki yenu Kwa mama niule Uzanzibar wake
 
Back
Top Bottom