Mkopo wa Trilioni 1.3 ni zigo la Tanganyika, mashaka ya Ndugai yataeleweka badae

Mkopo wa Trilioni 1.3 ni zigo la Tanganyika, mashaka ya Ndugai yataeleweka badae

Ugomvi wa Ndugai na Samia na akina Mwigulu haupo kwenye mkopo wenyewe hasa bali "Mgawanyo" wake ambao umeipendelea Zanzibar kwa kiwango cha kukufuru

Na ni wepesi wa kusahau, lakini Ndugai alikwishaelezea dukuduku lake siku ya kwanza tu wakati wa "Sherehe za Kupokea Mkopo"

Kwamba haiwezekani, jimbo la Kongwa lenye watu 470,000 wapate mgawo sawa na Jang'ombe or whatever lenye watu 4000 au 6000, hakuna haki hapo.

Zanzibar wamepokea a lion's share of the loan amount, yet Tanganyika ndo tutalipa mkopo

Ndugai ni mwovu na mimi binafsi namwombea mabalaa yamkute, lakiniiii....BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA
Tatizo la Ndugai hakumalizia sentesi yake
 
Ugomvi wa Ndugai na Samia na akina Mwigulu haupo kwenye mkopo wenyewe hasa bali "Mgawanyo" wake ambao umeipendelea Zanzibar kwa kiwango cha kukufuru

Na ni wepesi wa kusahau, lakini Ndugai alikwishaelezea dukuduku lake siku ya kwanza tu wakati wa "Sherehe za Kupokea Mkopo"

Kwamba haiwezekani, jimbo la Kongwa lenye watu 470,000 wapate mgawo sawa na Jang'ombe or whatever lenye watu 4000 au 6000, hakuna haki hapo.

Zanzibar wamepokea a lion's share of the loan amount, yet Tanganyika ndo tutalipa mkopo

Ndugai ni mwovu na mimi binafsi namwombea mabalaa yamkute, lakiniiii....BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA
Infact he had a point if you look at it very closely. Hence those who were concerned or against his views and remarks should have come up with concrete and convicing elaborations of which we haven't heard any so far.
 
Back
Top Bottom