Mkopo.

Ndessa please fafanua kidogo zaidi, unamaanisha nini unaposema wanakopesha kwa dhamana ya magari? Wanachukua reg card au wanabaki na gari kabisa? Maelezo yako ya kina yatawasaidia wengi I'm sure.

Sure Bobby umeuliza swali la msingi sana mana kama wanazuia mkoko ni balaa lingine tena...unless haina jinsi mana mzee mzima kama maji yamevuka shingo yako kidevuni..haina jinsi ni kupiga TZ 11..... Ndessa inabidi adadavue zaidi au atusaidie contact if possible
 

Kaka uza gari moja utatue shida yako.
 
Nahitaji M10. Muda wa miaka mitatu. Au M5 kwa miaka miwili.

10m

mrejesho

1,825,000 kila mwezi kwa miezi 6
991,000 kila mwezi kwa miezi 12
713,000 kila mwezi kwa miezi 18
757,000 kila mwezi kwa miezi 24
436,000 kila mwezi kwa miezi 36
una ubavu?
 
Umegusia saccoss kidogo wengine hatujui mikopo hiyo ya saccso huwa inakuwaje ebu tusaidiane hehheh tusaidie tukusaidie mwanya mambo yanavyokuwa hivyo na sie tunashida kama yako hivyo na sie tunataka wakujibu wataramu nasi tukulupuke twende hehehehe aii maisha popote
 
10m

mrejesho

1,825,000 kila mwezi kwa miezi 6
991,000 kila mwezi kwa miezi 12
713,000 kila mwezi kwa miezi 18
757,000 kila mwezi kwa miezi 24
436,000 kila mwezi kwa miezi 36
una ubavu?

Lovebird, hii wanatoa wapi na condition zao ni zipi?
 
Ndessa please fafanua kidogo zaidi, unamaanisha nini unaposema wanakopesha kwa dhamana ya magari? Wanachukua reg card au wanabaki na gari kabisa? Maelezo yako ya kina yatawasaidia wengi I'm sure.

Wale jamaa wanachukua documents zote za gari, afu mkopo wao wanataka urejeshe ndani ya miezi sita na riba yao ni maumivu.
 


From what i know, baadhi ya saccos, ukiwa member wake kwa specified time, huwa unaruhusiwa kukopa mara 3 ya unene wa akaunti yako e.g kama una 10m wakopeshwa 30m.

Ni hayo mkuu niyajuayo.
 

Mkuu Saccoss inategemeana na katiba yao. Kuna ambao ukiweka hela yako ndani ya miezi mitatu unakuwa na haki ya kukopa x2 au hadi x3 ya akiba yako. Mimi natumia ya walimu ipo vizuri sana.
 
nenda azania bank,hakikisha plot ina title hati halali, tengeneza ramani ya hiyo nyumba,rekodi za biashara yako kwa miaka mitatu nyuma,hati zako zote ulipaji wako wa kodi variate go!

Mkuu huku hakuna hiyo bank. Ipo NMB, TPB, BARCLAYS, BOA, KCB, NBC na EXIM.
 
Wale jamaa wanachukua documents zote za gari, afu mkopo wao wanataka urejeshe ndani ya miezi sita na riba yao ni maumivu.

Duh..sasa hapo miez 6!! Halafu tatizo sipo dar.
 
10m

mrejesho

1,825,000 kila mwezi kwa miezi 6
991,000 kila mwezi kwa miezi 12
713,000 kila mwezi kwa miezi 18
757,000 kila mwezi kwa miezi 24
436,000 kila mwezi kwa miezi 36
una ubavu?
Mh..naomba details zaidi kuhusu hii, ni nani hawa na nawapataje?
 

Mkuu, hujanielewa. Biashara itakuwa inarejesha mkopo..na ujenzi utaendelea kwa fund itakayotoka saccoss.
 

nenda standard chartered bank uwaelezee japo walikuwa wanatoa mikopo kwa watu waliwahi kukopa hapo nyuma
nenda tu watakupa maelezo
 
nenda standard chartered bank uwaelezee japo walikuwa wanatoa mikopo kwa watu waliwahi kukopa hapo nyuma
nenda tu watakupa maelezo

Mkuu niliwahi kwenda, wakaniambia wanatoa kwa wafanyakazi wa makampuni yenye mkataba nao tu.
 
Mkuu, hujanielewa. Biashara itakuwa inarejesha mkopo..na ujenzi utaendelea kwa fund itakayotoka saccoss.

ok tunaenda sawa sasa. Ila bado swali moja umeruka kulijibu. Hiyo biashara iko stable?
 
Dar es Salaam Community Bank, 1-5 siku unapata huo mkopo kama unakidhi vigezo vyao

Lovebird,kwanza tukuombe radhi kwa usumbufu, vp unaweza kugusia kidogo masharti yao tusijefunga safari n akuishia kudhalilika? Au ni mikopo ya mishahara hiyo? Thanks!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…