Mkorogo wa Vera Sidika

Mkorogo wa Vera Sidika

Hii clip ni ya mwanadada Vera Sidika. Yule Mkenya socialite au mhalaiki mwenye makalio makubwa na nyonga yenye ushepu.

Kwenye hii video anakiri wazi kuwa kweli katumia mkorogo profesheno na kweli anaonekana mweupe kulinganisha na alivyokuwa awali. Kwa hilo (la kukiri) nampa heko kwa kweli.



Kwenye hii video hapa chini, anaonekana kama bado hakuwa hajautumia mkorogo. Na anaongea Kiswahili swaafi kabisa. Nadhani atakuwa anatokea Mvita (Manbasa) huyu.



Halafu eti ana boyfriend wake Mpopo anayempa mahela mengi kufanya manunuzi ya vitu vya urembo kama dola elfu 50.

Hivi kumbe kuna wanaume wajinga hivyo? Yaani mahela yote hayo unampa mwanamke? Naelewa pesa ni zao lakini hmm....kinda sounds too good to be true but you never know.

Na ukute hata p(ussy) quality si nzuri kivile ila ni makalio tu ndiyo mtaji. The Boss

Pia nikimlinganisha huyo na Masogange, yaani hatii mguu kabisa kwa Agnes. Ushepu wa Masogange unaonekana ni homegrown na uko aesthetic kushinda wa huyu Mkenya.

kumpa hela nyingi mwanamke ni ujinga bwachuchu?
 
Last edited by a moderator:
Bwanchuchu
ulitaka kusema mkorogo profeshno au nunduz profeshno!
ahahahahahahahaha wanaume na miziigo!
mnapenda sana kazi ya ukuli enh?
 
Bwanchuchu
ulitaka kusema mkorogo profeshno au nunduz profeshno!
ahahahahahahahaha wanaume na miziigo!
mnapenda sana kazi ya ukuli enh?

Broader cage and thicker muscle fibres!!!!!
Wasnt a mistake!!!
 
Jaman hata ye ana ushape na sura anayo, wema sepetu mkorogo ulimshindaa au pesa mwanaharamu
 

Attachments

  • 1405066747999.jpg
    1405066747999.jpg
    66.7 KB · Views: 256
Last edited by a moderator:
Shape kajaliwa ila sura nzito nayo angeifanyia mpango achonge hata pua si anataka uzungu
 
Tobaa!! jamani vidolali vya mbeba maboks hapa vitafyonzwa vyote.

He he mie nimewasaidia picha tu.
Kazi ni kwenu.
Afu na yeye anaapplication play store kama unamzimia nenda kadownload.
Kazi ni kwenu.
 
kumpa hela nyingi mwanamke ni ujinga bwachuchu?

Ndiyo, kumpa hela nyingi kisha yeye anakupa uchi wake ni ujinga kwa mtazamo wangu.

Wewe huwa unampa hela nyingi mwanaume anayekutomba?
 
Back
Top Bottom