Mkosa hoja. . . .

Kakondooo bana, ulishawahi kuona mama mchungaji akitikisika wakati hachezi mziki? Let 'em smile a little.

Do you care about their faces?? Are they really? Got anything to do with their smile?? Better get them lost!!
 
Do you care about their faces?? Are they really? Got anything to do with their smile?? Better get them lost!!

Just for the fun of it kakondoo. .
Ngoja nikagombane na besti maridadi sasa.
 
eeh kumbe na wewe mfanyabiashara ni mwanamke wa maana??mbona isingekuwa rahisi..we zuga tu,tutakutana Pm..

Ukizuga kua kichaa wapo watakaodhani ni kichaa kweli.
PM mwombe Invisible na PAW wawe wanakutumia.
 

Hahaaha. . .
Na utengeneze njia yako kwa lami sio kokoto.
 
Ukizuga kua kichaa wapo watakaodhani ni kichaa kweli.
PM mwombe Invisible na PAW wawe wanakutumia.

kumbe tupo wengi!kweli we noma.naona upo kikazi zaidi,ngoja nisepe nisije kuwa naharibu soko..
 

....Duh!!! Yaani nimeipenda sana hii maana kila ulichoandika ni kweli kabisa.

 
Last edited by a moderator:
....Duh!!! Yaani nimeipenda sana hii maana kila ulichoandika ni kweli kabisa.


BAK inabidi niongeze ya yule jamaa. . . .
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Na akimaliza kutapatapa huko kooote,
Atarudi na ID mpya na Avatar mpya na mbwembwe mpya....
Nadhani ni upande wa pili wa burudani wa JF.... kuangalia wapuuzi wanavyoweweseka hapa!
jG hawa ndio wale ukiangalia joined date unaona ni leo, post anazo nne na zote zinamlenga member fulani.:A S-coffee:
 


Ila mie nawahusudu sana waungwana wa hapa pale wanakosea na kuambiwa au kuona wenyewe wamekosea hawaoni tatizo kuommba samahani ila kuna wengine wa matawi ya juu hawako tayari kuomba radhi hata pale wanapokosea eti watajishusha!!!! Naona kila mwisho wa mwaka kuna haja ya kutoa kijizawadi kwa wanachama ambao wameonyesha ustaarabu wa hali ya juu katika mijadala mbali mbali hapa jukwaani, labda hii itasaidia sana katika kuhakikisha watu hawakurupuki na kuandika upupu ambao mara nyingi huishia kuchafua hali ya hewa.
 
I thought I've heard it all until when someone came with "I keep tag, and you have never supported me" to realize that JF will never cease to amaze me
 
Kwanzia leo nakua mtoto mzuri nisikose zawadi.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…