Mkosa hoja. . . .

Mkosa hoja. . . .

Boss wewe kaa wa Azania kutwa unachungulia skirts pale Jangwani
 
Isije kuwa wewe ni miongoni mwa wale watu wakikutwa wamesimama karibu na Audi, wanajifanya yao, kumbe chao ni ki Corolla pembeni :lol:

nilikuwa boarding mkoani
form one na two
nikaja Azania..kumalizia.....
Umenikumbusha mbaali
Azania pia nilikaa Hosteli mwishoni.....

hata Corola kwangu its fine lol
 
nilikuwa boarding mkoani
form one na two
nikaja Azania..kumalizia.....
Umenikumbusha mbaali
Azania pia nilikaa Hosteli mwishoni.....

hata Corola kwangu its fine lol

Azania ndo wasomi wa enzi hizo........hongera Boss you got yourself an Audi
 
Nyie mlosoma boarding sijui mliwezaje tu.


boarding za serikali zina discipline kubwa
kila mtu anaogopa kufukuzwa shule
halafu kwa mimi,ukitoka Dar kwenda mkoa
unapata advantage....
watu wa Dar wakubwa hawataki atokee mtu kutoka Dar awaaibishe
so wanakulinda na unapewa miongozo..
wa mikoani wanakupa 'heshima' fulani hivi...
it was fun....
kabla ya boarding nilikuwa nachagua vyakula...
nikanyooka....almost kila chakula now nakula lol
tena nafakamia bila usumbufu lol
 
Mie boarding nikikumbuka choo, saa zote umezungukwa na watu huna privacy, siwezi
 
boarding za serikali zina discipline kubwa
kila mtu anaogopa kufukuzwa shule
halafu kwa mimi,ukitoka Dar kwenda mkoa
unapata advantage....
watu wa Dar wakubwa hawataki atokee mtu kutoka Dar awaaibishe
so wanakulinda na unapewa miongozo..
wa mikoani wanakupa 'heshima' fulani hivi...
it was fun....
kabla ya boarding nilikuwa nachagua vyakula...
nikanyooka....almost kila chakula now nakula lol
tena nafakamia bila usumbufu lol

I said no to boarding school and I don't regret it.
 
Mie boarding nikikumbuka choo, saa zote umezungukwa na watu huna privacy, siwezi

umenikumbusha kuna watu
boarding mkoa walikuwa wana prefer
kwenda mashambani kuliko kutumia toilet
sasa mchezo ukaanza kuwa maarufu
ikafikia wakati ,ikifika saa moja tu watu msururu wanaelekea mashambani..lol
utasema wameambiana...shule yetu ilikuwa na mashamba makubwa kuzunguka shule
 
umenikumbusha kuna watu
boarding mkoa walikuwa wana prefer
kwenda mashambani kuliko kutumia toilet
sasa mchezo ukaanza kuwa maarufu
ikafikia wakati ,ikifika saa moja tu watu msururu wanaelekea mashambani..lol
utasema wameambiana...shule yetu ilikuwa na mashamba makubwa kuzunguka shule

Hamkujaza shamba. . . . .??!
 
Mie boarding nikikumbuka choo, saa zote umezungukwa na watu huna privacy, siwezi

dah! Umenikumbusha vyoo na mabafu ya shule yetu tulikuwa tunayaita manyani. Watu tunaoga uchi bila uoga. Ukitukuta tunaoga utasema manyani.
 
I said no to boarding school and I don't regret it.

mimi nilifaulu interview za
Mzizima na Shaaban robert among others
But those days kusoma shule ya serikali
unaonekana kichwa zaidi...but baadae
niliona kama i missed 'something'
Niliwahi kwenda Shaaban Robert kumtembelea mtu
nikaingia library yao duh...vitabu tele,mpaka magazines kama Newsweek na Time...
na mimi reading vitu tofauti ndo hobby,nilitamani...lol
shule za serikali hata Daily News miujiza kuliona lol
 
Pia mwingine akishikwa pabaya anakimbilia kwenda kuanzisha topic-less thread nyingine kulalamika!

mimi nilifaulu interview za
Mzizima na Shaaban robert l
ulipofaulu interview za Mzizima na Shaaban Robert ukachagua ipi kwenda kufundisha, I hope walikuwa na mishahara mizuri.
 
Hamkujaza shamba. . . . .??!

wewe bana lol
shule kwanza ilikuwa imezungukwa na viwanja vya mpira vingi tu
halafu nyuma ndo kuna mashamba.....na tulikuwa tunalima humo humo.
so mbolea ya bure lol
 
dah! Umenikumbusha vyoo na mabafu ya shule yetu tulikuwa tunayaita manyani. Watu tunaoga uchi bila uoga. Ukitukuta tunaoga utasema manyani.


....Hahahahahah lol! Kwani manyani wakioga ndio wanaogaje!? 🙂🙂
 
mimi nilifaulu interview za
Mzizima na Shaaban robert among others
But those days kusoma shule ya serikali
unaonekana kichwa zaidi...but baadae
niliona kama i missed 'something'
Niliwahi kwenda Shaaban Robert kumtembelea mtu
nikaingia library yao duh...vitabu tele,mpaka magazines kama Newsweek na Time...
na mimi reading vitu tofauti ndo hobby,nilitamani...lol
shule za serikali hata Daily News miujiza kuliona lol

Oh yeah...shule ile ilikuwa kamili gado kwa viwango vya kibongo bongo enzi hizo. Na uzuri wake ni kwamba kulikuwa na 'entrance exam'. Na watu walikuwa wakifeli hiyo entrance exam. Hata maabara zake zilikuwa bomba relatively speaking.

Faida nyingine ilikuwa ni kujifunza lugha ya Kiingereza kwa sababu watoto wengi wa pale walitokea Olympio...sasa ukichanganya na wale Wahindi ambao walikuwa hawajui Kiswahili mtoto wa kitaa na wewe unajikuta unalonga nao hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom