Mkristo ambaye hufungi na kuomba unatumia mbinu gani kujilinda na wachawi kwenye Biashara na maofisini?

Mkristo ambaye hufungi na kuomba unatumia mbinu gani kujilinda na wachawi kwenye Biashara na maofisini?

Nimekuwa kqnisani nikajifunza jambo la ajabu.

Wafanyabiashara na waajiriwa wakubwa ndio wasiopenda maombi na kufunga. Wengi hata wakati wa mambo siriasi ya kiroho hawana muamko nayo.

Huko kwenye biashara na ofisini hawa jamaa wanatoboa vipi? Maana kwa uzoefu wangu hata ukifungua kigenge chenye mtaji wa 10K TSh utashambuliwa kama ni billionea. Inabidi huwe ngangari ndio utoboe.

Wale wenzetu hutumia uganga, nyie huo ujasiri wa kuwa wakavu kiroho alafu mnatafuta mali bila maombi na kufunga mnatoboaje huko?
Kula kitimoto sana,mama mdogo hawana ujanja.
 
Waislamu
Wenzenu wapi hao?!!
Funga sio Kwa wakristo tu hata waislam Tena ukifunga unakubaliwa mapema Sana maombi Yako...
Kwenye waganga Sasa hv hakuna dini kaka yangu,dini zote wengi washirkina sijui nisemeje mkoa niliopo Kwa Sasa una wakristo wengi Jamani,sijawahi ona watu wachawi km Hawa balaaaa....siku hizi Tena uchawi wameumodenaizi hawavai mahirizi mabegi ,wanavaa bangili za shaba au chuma mikononi Kuna mmoja huyo la kwake Limechingwa halafu limewekewa nyoka huyo haibiwi,havamiwiht awe na 100mls
Cha muhimu sisi wanadamu tuambizane kumrudia Mungu Kwa Imani zetu kidhati Kabisa,shirki ,uchawi,uganga ni dhambi kubwa na Mungu ukimshirkisha anachukia sanaa km sisi tunaambiwa kabisa mtu yoyote anayeenda Kwa mganga kupiga ramli Ibada zake hazikubaliki siku 40, na kama akienda akakubali alivoambiwana mganga baasi huyo ametoka kwenye dini Moja Kwa Moja Mpk atubu Kwa Mola wake
Hvyo hapa duniani Kuna watu wengi sana hawana dini ila hawajijui
Sorry maelezo Mengi ila nilikua nasisitiza umuhimu Wa ibada zote
Waislamu tumeambiwa 'fungeni mtapata afya'
Bado tukaambiwa,tumeteremshiwa funga km waliokua kabla yetu Ili tupate kua Wacha Mungu...
Funga ni muhimu Sanaa Tena sana na inajenga Imani
Waislamu, hv mkuu kuna watu katika dini Yao wanaongoza kurogana Hadi kuuana Yani unamroga mtu Hadi afe sio apate mikosi labda, tena ni viongozi was juu ndo wanalogana.

Hapa nilipo wawili wameshazikwa, viongozi Hao... Wa tatu ni Msunni Mmoja mke wake alikuwa anaumwa, jamaa kaenda Hospitali kumpima mkewe.

MAJIBU ikawa Mwanamke haumwi popote, jamaa kurudi nyumbani kamdai mke Hela alotumia kulipa vipimo Hospitali, Siku ya tatu Mwanamke kafa.

Pia nimeshuhudia Mchungaji mlokole alilogwa na wachungaji wenzake...
 
natoa ushughuda ni mwaka tu sasa tangu nifungue bisahara yang ya chakula mkoa fulan hivi ,,,nakumbuka nililetewa habar na mwamba means mshkaj wangu kua aliskia tetesi wakat yupo bar watu wananijadili kua huyu jamaa amewezaje kuisimamia buashara yke mpka muda huu maana weng wanakuja wanakaa wiki wanafunga biashra sasa yeye amewezaje kwakweli maneno yakawa ni meng sana maana iyo sehem inasifika kwa husda ni nying na uchawi chuma ulete yan kila uchafu hupo hapo mtaani lakin ukweli naujua mm mwenyewe kiimani ni muislam nna kawaida kila alhamis lazma nifunge yani sili chochote na vilevile nafunga biashara pia siku hiyo nashinda ndani kutwa nikiwa najisomea na kuiombea ulinzi biashara yangu,,nmeachana na wanawke nmeachana na ulevi yani nafanya yote ambayo mungu anapenda ili nsijenikaharibu harakat zang ma mara nying natumia mas-hafu na baadh ya vitabu vinavyohusiana na mamb ya kiiman kama visomo vya kuondoa uchawi wa zongo na vijicho kwakweli nlikua nafanya biashara kila siku watu weng wakawa wananifata aty wanataka niwapeleke kwa mganga wangu ..basi hubaki nacheka maana nawaza nkimwambia afanye kama niyafanyayo ili atoboe nahis kua haatoweza kiukweli khasa nawambia hivi ili utoboe biashara yoyote lazima ukubali kutafuta ulinzi baina ya pande mbili either kwa mungu au kwa wachawi ukichagua kwa mungu kafara yake ni matendo mema ,,kuacha uzinz na mambo yote yanayomchukiza nakupa uhakika wa biashara yako kusimama na kuendelea lakin vile vile ukielekea upande uchawi pia kuna taratibu zke za makafara ni hayo tu aliesikia na asikie
Ni hiyo unayofanya unapata faida duniani na mbinguni.
 
Reference ya hayo maandiko umeorodhesha please.
1: Bidii
Mithali 12:27
Mtu mvivu hapiki mawindo yake;Bali mwenye bidii anazo mali za thamani.

2: ASubuhi na mapema. Mambo Mengi ya maana karibu warmtu wote waliamka mapema sana.
Yoshua 3:1
Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, nao wakatoka Shitimu, wakafika mto wa Yordani, yeye na wana wa Israeli wote, wakakaa hapo kabla ya kuvuka.

3: Kutunza hesabu na usimamizi wa hesabu kidogokidogo
Mithali 13:11
Mali iliyopatikana kwa haraka itapunguka; <br>Bali yeye achumaye kidogo kidogo atazidishiwa.

4: Connections.
Soma story yote luka 16, huyu jamaa alisifiwa na Yesu kwa sababu alikuwa na connections ambazo alipofukuzwa kazi zingemsaidia,
Luka 16:5
Akawaita wadeni wa bwana wake, kila mmoja; akamwambia wa kwanza, Wawiwani na bwana wangu?

5: Afya: Ipo kwenye ulaji wa vyakula vya asili kutoka ardhini.
Mwanzo 1:29
Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;


Na mengine mengi niishie hapo mkuu.
 
Nimekuwa kqnisani nikajifunza jambo la ajabu.

Wafanyabiashara na waajiriwa wakubwa ndio wasiopenda maombi na kufunga. Wengi hata wakati wa mambo siriasi ya kiroho hawana muamko nayo.

Huko kwenye biashara na ofisini hawa jamaa wanatoboa vipi? Maana kwa uzoefu wangu hata ukifungua kigenge chenye mtaji wa 10K TSh utashambuliwa kama ni billionea. Inabidi huwe ngangari ndio utoboe.

Wale wenzetu hutumia uganga, nyie huo ujasiri wa kuwa wakavu kiroho alafu mnatafuta mali bila maombi na kufunga mnatoboaje huko?
Tunatumia MO Xtra kubwa
 
Pata muda binafsi wa maombi (omba katika Roho na sio kwa lugha yako pekee) na kula (chakula cha kiroho).

Taa yako ya rohoni iwe na mafuta, uone yaliyo sirini.
 
Yani Mungu mnayedai ana upendo, mwema sana na mwenye huruma,

Anafanya njia ya waovu iwe na wengi?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Ndugu hii dhambi kubwa sana jitahidi kutubu isije kukutafuna wewe na kizazi chako
 
Ndugu hii dhambi kubwa sana jitahidi kutubu isije kukutafuna wewe na kizazi chako
Dhambi haipo.

Sin is an imaginary disease invented to sell you an imaginary cure.

Hakuna Mungu wala dhambi.

Kwanza kama dhambi ipo, Mungu ndio mdhambi namba moja.

Mungu huyo amehusika na mauaji ya watu wengi sana.
 
Nimekuwa kqnisani nikajifunza jambo la ajabu.

Wafanyabiashara na waajiriwa wakubwa ndio wasiopenda maombi na kufunga. Wengi hata wakati wa mambo siriasi ya kiroho hawana muamko nayo.

Huko kwenye biashara na ofisini hawa jamaa wanatoboa vipi? Maana kwa uzoefu wangu hata ukifungua kigenge chenye mtaji wa 10K TSh utashambuliwa kama ni billionea. Inabidi huwe ngangari ndio utoboe.

Wale wenzetu hutumia uganga, nyie huo ujasiri wa kuwa wakavu kiroho alafu mnatafuta mali bila maombi na kufunga mnatoboaje huko?
Fungu la kumi ,malimbuko ,sadaka za ujenzi ,sadaka kwa baba wa kiroho,sadaka ya umisheni,sadaka kwa masikini ,Toa mahitaji ya familia yako,angalia wazazi wako FANYA HAYA KWA MUENDELEZO hauitaji maombi hapa ni kutoboa tu .
 
Dhambi haipo.

Sin is an imaginary disease invented to sell you an imaginary cure.

Hakuna Mungu wala dhambi.

Kwanza kama dhambi ipo, Mungu ndio mdhambi namba moja.

Mungu huyo amehusika na mauaji ya watu wengi sana.
Sema ndugu ujasili ulio nao sijui unaupata wapi maana wengi waliokuwa kama wewe waliishia kupata matatizo makubwa
 
Uchawi unakuzwa upo overrated.

In fact uchwi upo na science ya uchawi ipo Ila mchawi huwa haendeshi bali anaendeshwa yupo driven .

Na katika layer uchawi unaishia layer ya tatu.

Maisha ni kuwa innocence -mnyongofu hiyo pekee inatosha kuwa salama hakuna MTU wa kukugusa.

Huwa nasikitika kuona watu wanashindwa kutumia hadhina yao waliyonayo wanabaki kuogopa uchawi au kukimbilia kwenye uchawi.


Binadamu Ana infinite treasure , ni swala la kuichimba tu hadhina yake na Ku-manifest katika kazi zake na MAISHA.
 
Sema ndugu ujasili ulio nao sijui unaupata wapi maana wengi waliokuwa kama wewe waliishia kupata matatizo makubwa
Wengi wangapi?

Kina nani?

Matatizo yapo kwa sababu Mungu huyo ameshindwa kuumba Dunia isiyo na matatizo.

Mungu huyo ni Mkatili sana kwa kuumba Dunia yenye matatizo ilhali uwezo wa kuumba Dunia isiyo na matatizo alikuwa nao.

Otherwise, Mungu huyo hayupo.
 
Back
Top Bottom