Kula kitimoto sana,mama mdogo hawana ujanja.Nimekuwa kqnisani nikajifunza jambo la ajabu.
Wafanyabiashara na waajiriwa wakubwa ndio wasiopenda maombi na kufunga. Wengi hata wakati wa mambo siriasi ya kiroho hawana muamko nayo.
Huko kwenye biashara na ofisini hawa jamaa wanatoboa vipi? Maana kwa uzoefu wangu hata ukifungua kigenge chenye mtaji wa 10K TSh utashambuliwa kama ni billionea. Inabidi huwe ngangari ndio utoboe.
Wale wenzetu hutumia uganga, nyie huo ujasiri wa kuwa wakavu kiroho alafu mnatafuta mali bila maombi na kufunga mnatoboaje huko?
Wachawi na majini wanapenda sana kitimoto. Ndio maana yalimwambia Yesu tunaomba tuingilie nguruwe.Kula kitimoto sana,mama mdogo hawana ujanja.
Waislamu, hv mkuu kuna watu katika dini Yao wanaongoza kurogana Hadi kuuana Yani unamroga mtu Hadi afe sio apate mikosi labda, tena ni viongozi was juu ndo wanalogana.Wenzenu wapi hao?!!
Funga sio Kwa wakristo tu hata waislam Tena ukifunga unakubaliwa mapema Sana maombi Yako...
Kwenye waganga Sasa hv hakuna dini kaka yangu,dini zote wengi washirkina sijui nisemeje mkoa niliopo Kwa Sasa una wakristo wengi Jamani,sijawahi ona watu wachawi km Hawa balaaaa....siku hizi Tena uchawi wameumodenaizi hawavai mahirizi mabegi ,wanavaa bangili za shaba au chuma mikononi Kuna mmoja huyo la kwake Limechingwa halafu limewekewa nyoka huyo haibiwi,havamiwiht awe na 100mls
Cha muhimu sisi wanadamu tuambizane kumrudia Mungu Kwa Imani zetu kidhati Kabisa,shirki ,uchawi,uganga ni dhambi kubwa na Mungu ukimshirkisha anachukia sanaa km sisi tunaambiwa kabisa mtu yoyote anayeenda Kwa mganga kupiga ramli Ibada zake hazikubaliki siku 40, na kama akienda akakubali alivoambiwana mganga baasi huyo ametoka kwenye dini Moja Kwa Moja Mpk atubu Kwa Mola wake
Hvyo hapa duniani Kuna watu wengi sana hawana dini ila hawajijui
Sorry maelezo Mengi ila nilikua nasisitiza umuhimu Wa ibada zote
Waislamu tumeambiwa 'fungeni mtapata afya'
Bado tukaambiwa,tumeteremshiwa funga km waliokua kabla yetu Ili tupate kua Wacha Mungu...
Funga ni muhimu Sanaa Tena sana na inajenga Imani
Ni hiyo unayofanya unapata faida duniani na mbinguni.natoa ushughuda ni mwaka tu sasa tangu nifungue bisahara yang ya chakula mkoa fulan hivi ,,,nakumbuka nililetewa habar na mwamba means mshkaj wangu kua aliskia tetesi wakat yupo bar watu wananijadili kua huyu jamaa amewezaje kuisimamia buashara yke mpka muda huu maana weng wanakuja wanakaa wiki wanafunga biashra sasa yeye amewezaje kwakweli maneno yakawa ni meng sana maana iyo sehem inasifika kwa husda ni nying na uchawi chuma ulete yan kila uchafu hupo hapo mtaani lakin ukweli naujua mm mwenyewe kiimani ni muislam nna kawaida kila alhamis lazma nifunge yani sili chochote na vilevile nafunga biashara pia siku hiyo nashinda ndani kutwa nikiwa najisomea na kuiombea ulinzi biashara yangu,,nmeachana na wanawke nmeachana na ulevi yani nafanya yote ambayo mungu anapenda ili nsijenikaharibu harakat zang ma mara nying natumia mas-hafu na baadh ya vitabu vinavyohusiana na mamb ya kiiman kama visomo vya kuondoa uchawi wa zongo na vijicho kwakweli nlikua nafanya biashara kila siku watu weng wakawa wananifata aty wanataka niwapeleke kwa mganga wangu ..basi hubaki nacheka maana nawaza nkimwambia afanye kama niyafanyayo ili atoboe nahis kua haatoweza kiukweli khasa nawambia hivi ili utoboe biashara yoyote lazima ukubali kutafuta ulinzi baina ya pande mbili either kwa mungu au kwa wachawi ukichagua kwa mungu kafara yake ni matendo mema ,,kuacha uzinz na mambo yote yanayomchukiza nakupa uhakika wa biashara yako kusimama na kuendelea lakin vile vile ukielekea upande uchawi pia kuna taratibu zke za makafara ni hayo tu aliesikia na asikie
1: BidiiReference ya hayo maandiko umeorodhesha please.
Tunatumia MO Xtra kubwaNimekuwa kqnisani nikajifunza jambo la ajabu.
Wafanyabiashara na waajiriwa wakubwa ndio wasiopenda maombi na kufunga. Wengi hata wakati wa mambo siriasi ya kiroho hawana muamko nayo.
Huko kwenye biashara na ofisini hawa jamaa wanatoboa vipi? Maana kwa uzoefu wangu hata ukifungua kigenge chenye mtaji wa 10K TSh utashambuliwa kama ni billionea. Inabidi huwe ngangari ndio utoboe.
Wale wenzetu hutumia uganga, nyie huo ujasiri wa kuwa wakavu kiroho alafu mnatafuta mali bila maombi na kufunga mnatoboaje huko?
Bro, unaelewa ulichokiandika??Yani Mungu mnayedai ana upendo, mwema sana na mwenye huruma,
Anafanya njia ya waovu iwe na wengi?
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Umekunywa Chang'aa sio?Bro, unaelewa ulichokiandika??
Ndugu hii dhambi kubwa sana jitahidi kutubu isije kukutafuna wewe na kizazi chakoYani Mungu mnayedai ana upendo, mwema sana na mwenye huruma,
Anafanya njia ya waovu iwe na wengi?
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Dhambi haipo.Ndugu hii dhambi kubwa sana jitahidi kutubu isije kukutafuna wewe na kizazi chako
Fungu la kumi ,malimbuko ,sadaka za ujenzi ,sadaka kwa baba wa kiroho,sadaka ya umisheni,sadaka kwa masikini ,Toa mahitaji ya familia yako,angalia wazazi wako FANYA HAYA KWA MUENDELEZO hauitaji maombi hapa ni kutoboa tu .Nimekuwa kqnisani nikajifunza jambo la ajabu.
Wafanyabiashara na waajiriwa wakubwa ndio wasiopenda maombi na kufunga. Wengi hata wakati wa mambo siriasi ya kiroho hawana muamko nayo.
Huko kwenye biashara na ofisini hawa jamaa wanatoboa vipi? Maana kwa uzoefu wangu hata ukifungua kigenge chenye mtaji wa 10K TSh utashambuliwa kama ni billionea. Inabidi huwe ngangari ndio utoboe.
Wale wenzetu hutumia uganga, nyie huo ujasiri wa kuwa wakavu kiroho alafu mnatafuta mali bila maombi na kufunga mnatoboaje huko?
Sema ndugu ujasili ulio nao sijui unaupata wapi maana wengi waliokuwa kama wewe waliishia kupata matatizo makubwaDhambi haipo.
Sin is an imaginary disease invented to sell you an imaginary cure.
Hakuna Mungu wala dhambi.
Kwanza kama dhambi ipo, Mungu ndio mdhambi namba moja.
Mungu huyo amehusika na mauaji ya watu wengi sana.
Wengi wangapi?Sema ndugu ujasili ulio nao sijui unaupata wapi maana wengi waliokuwa kama wewe waliishia kupata matatizo makubwa