Tetesi: MKT wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Kuanza Ziara ya Ulaya na US Kupitia Dubai 28/08/2016? !.

Mmechanganyikiwa! Badala ya kujitetea kwa kile alichowasilisha mnaanza kujadili jinsia ya mtu
Kweli wewe kiazi inaonesha u mtupuuuu

Ticket gani ya emirates iko hivyo? Yaani Emirates wakosee mpaka jina? Eti mr Freeman Mbowie kwa! Kwa! Kwa!!!

Mavi kabisa!
 
Tunaomba e ticket yake ya kutoka Dar to Dubai
Mkuu tumepanda sana ndege hasa emirates!! Hawawezi kosea jina eti Freeman Mbowie umeona wapi?

Kwi kwi kwi Lumumba kuna maiti tupu ndio maana wamefanyika laana kwa nchi hii!!

Hawawezi kutunga uongo!!
 
Mkuu tumepanda sana ndege hasa emirates!! Hawawezi kosea jina eti Freeman Mbowie umeona wapi?

Kwi kwi kwi Lumumba kuna maiti tupu ndio maana wamefanyika laana kwa nchi hii!!

Hawawezi kutunga uongo!!
Hahahaha
Hao jamaa wana akili za Maiti
 
Mkuu, una kauli gani kuhusu mbowe kukimbia moto aliouwasha?
Mbowe yuko Nchini, naomba nikuhakikishie hivyo! Hakuna sababu yeyote itakayomuondoa TANZANIA kwa sasa.

Msijidanganye wala kuwadanganya waajiri wenu kuwa Mbowe ameondoka TANZANIA! Nyie fanyeni kazi yenu kwa weledi tu, hizi porojo haziwezi kuwa suluhisho.
 
UKUTA wenu washike wengine? Jiandaeni wenyewe MBOWE washikisha yeye anasepa.
Hahahah leo we maiti umepatikana!! Inawezekana ni mmoja wa waandishi wa zuio feki la mahakama na ile barua (uchafu) mliyojifanya ni jaji Salome Kaganda kwenda kwa Lissu!!

Yaani mnaonesha wazi mlivyo wafu huko Lumumba maana hata kuupamba uongo uwe ukweli bila kuacha doubts hamuwezi!!!
 
Umelipwa kuandika ujinga huu.mimi mwenyewe nilikuwa mh mbowe juzi amesema yeye atakuwa mstari wa mbele na yupo tayari kufa. Sasa huo upumbavu wako kamwambie mkeo. Pumbavuuuuu
 
Aiseeeeee! Hii sasa hatareeee! Kamanda Mkuu anaenda kujificha majuu baada ya kuchochea vurugu! Ndo maana kasema kuwa chadema wapo tayari kusimamisha mikutano septemba mosi!

Yaani Lumumba ni kuzimu!!! Huo upuuzi ndio mnaamini? Hahahahah unaonesha hata ndege hujawai panda ndo maana umevishwa kanzu kijinga!!

Nyie ni vinyaa kabisa!!!
 
Siku zote mbowe amekuwa akiwauza nyumbu wake halafu yeye anasepa zake
 
Pasco DAMU ya kusema uongo, na kumsingiza FREE Mbowe ili kukidhi mahitaji yako ya kisiasa, haitakuacha bure!
 
Hadi ITINERARY watu wanayo, JF ni shida. Hapo akansel tu hiyo safari.
 
wakuu hivi mbowe kapangiwa wapi katika oparesheni UKUTA? Kwa kweli chadema waje hapa kukubali ama kukanusha habari hii. vinginevyo ni shiida....
 
Hivi asipokuwepo itapunguza umuhimu ya hayo maandamano kwa wewe unayepanga kushiriki?
Point hapa nikusaaidie ni ana-MOBILIZE ignorants kisha yeye anasepa!! Kama ni kweli ni kwamba ameshajua kucheza na akili za nyumbbu, haitakuwa mara ya kwanza!
 
Tutakuwepo kweny ukuta.kwanza matamko yameshatugharim sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…