Tetesi: MKT wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Kuanza Ziara ya Ulaya na US Kupitia Dubai 28/08/2016? !.

Tetesi: MKT wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Kuanza Ziara ya Ulaya na US Kupitia Dubai 28/08/2016? !.

Makene inabidi Aje kukanusha, athibitishe umma kama mwenyekiti atakuwepo tarehe moja...teh teh teh
 
TISS wafuatilie hii tetesi. Mbowe na viongozi wakuu wa chadema wasiruhusiwe kuondoka nje ya nchi katika kipindi hiki. Wanaweza wakawa wanaenda kununua silaha kwa ajili ya operesheni yao hiyo. Mambo haya huanza kama mzaha. Mawasiliano ya viongozi hawa yafuatiliwe kwa karibu yasije yakatupata kama yale ya Libya na Misiri.
 
Anafuata hela. Ww unadhani hata Bokoharam inaendeshwa bure?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Lumumba msihangaike... Subiri mshike ukuta. Mbowe asafiri au asisafili kwenye hili gemu tumemwambia akae pembeni sisi tutamaliza mchezo
 
Eti "Freeman Mbowie". Unadanganya hadi unashindwa kuandika jina halisi la mtu?
Na aliekata hiyo tiketi ni wewe hawara wake au yeye mwenyewe. Maana inavyoonesha inakatwa na raia ambaye hayupo Tanzania.
Na tiketi iliyokatwa ikakamilika haioneshi hivyo, ina details zote hadi pasaport number.
 
Back
Top Bottom