Mkubwa Fella awaita wandishi wa habari kuwaonyesha majumba aliowajengea Yamoto Band

Mkubwa Fella awaita wandishi wa habari kuwaonyesha majumba aliowajengea Yamoto Band

Huyu jamaa anawajali sana hawa madogoo,,,hata kama anawaibia atleast anarudisha nusu ya kile anachoiba
 
Mtu asiye na jazba anisaidie anieleweshe, kwa nn kawajengea sehem moja? Je wanaruhusiwa kutumia nyumba hizo kama vitega uchumi? Ningependa kujua , nani ana hati miliki ya nyumba hizo? Kama huna jibu then futa huo uzi ukapate majibu coz ukishaleta hapa umelikoroga utalinywea tu! Vp akiamua kutoka kwenye kundi leo,?
Juma Nature alitoka pia lakini hakuporwa nyumba.Zile kambi wanazojenga NHC pia ukishakuwa mmiliki halali unaweza kuzigeuza kitega uchumi.
 
Mtu asiye na jazba anisaidie anieleweshe, kwa nn kawajengea sehem moja? Je wanaruhusiwa kutumia nyumba hizo kama vitega uchumi? Ningependa kujua , nani ana hati miliki ya nyumba hizo? Kama huna jibu then futa huo uzi ukapate majibu coz ukishaleta hapa umelikoroga utalinywea tu! Vp akiamua kutoka kwenye kundi leo,?
Bila kusahau kila nyumba hapo ina mmiliki mmoja..Fella ni kama baba tu ambaye anachukua kiasi ktk pato la mwanae kwa ajili ya kumjengea kesho yake.Kwa nilivyoelewa
 
Back
Top Bottom