Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Akilimali na genge lake watamkubali Manji?yanga mtu pekee atakaeiweza ni manji wengine wote ni wachumia tumbo
WATAJEE HAOO WATU ELSE HUU N UMBEA NA UNAAAANmekuwa nikimfuatilia huyu mzee toka ajitafutie cheo yanga...simwelewi kabisa. Naona kama amewekwa pale makusudi na watu flani kuivuruga yanga.
Toka aandike barua feki ya kuwa manji anarudi yanga nlimtoa thaman kabisa na kuona mzee mzima tena waziri anakuwa na ukilaza na utapeli.tunajua anatumika na watu flani kutuharibia yanga yetu.
Nyika na ndama watoto wa mjini,wamemuwin mzee wetu mkuchika bila kujali wadhifa wake,mzee yakija kumuharibikia itakua too late maana wajanja wa mjini watakua washatimiza malengo yaoWATAJEE HAOO WATU ELSE HUU N UMBEA NA UNAAAA
MAJUNGULIZATION
WATAJEE HAOO WATU ELSE HUU N UMBEA NA UNAAAA
MAJUNGULIZATION
Nyika na ndama watoto wa mjini,wamemuwin mzee wetu mkuchika bila kujali wadhifa wake,mzee yakija kumuharibikia itakua too late maana wajanja wa mjini watakua washatimiza malengo yao
Ndama kwa kiasi kikubwa ndiyo anaisaidia Yanga kwa sasa.Nyika na ndama watoto wa mjini,wamemuwin mzee wetu mkuchika bila kujali wadhifa wake,mzee yakija kumuharibikia itakua too late maana wajanja wa mjini watakua washatimiza malengo yao
Wala hatuna wasiwasi na nyie.
Wakikosa kombe la AzamConfCup (maana TPL wameshaikosa) ndio kabisaa,itakuwa hatariYanga sijui itakuja kuimarika lini aiseee?!?!?!?!,
Sent from Nokia 7 Plus
Mtu pekee anayetumiwa Yanga kwa maslahi yake binafsi ni Mrundi Akilimali.
Tunajua sasa kapata mbabe wake yule Mpemba. Kaufyata.
Ugomvi na Manji ulianza baada ya kumkatia mirija.
Kulikuwa na clip moja ya video ilitembea sana. Bahati mbaya sinayo sasa hivi.