Mkude akienda Yanga SC atakuwa ametimiza Mambo haya makubwa Mawili ambayo wengi wenu mlikuwa hamuyajui

Mkude akienda Yanga SC atakuwa ametimiza Mambo haya makubwa Mawili ambayo wengi wenu mlikuwa hamuyajui

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Siku nyingi sana na hapa JamiiForums ( walio wengi watashuhudia kwa akina Tomaso waliojazana ) GENTAMYCINE nilisema kuwa kama kuna Mchezaji ambaye si tu ninammudu bali pia namjua ndani nje kwakuwa kakua namuona ni Jonas Gerald Mkude.

Na ndiyo maana baada ya Leo kusikia kuwa ana Uwezekano wa kwenda Yanga SC niliwashangaa mno wana Simba SC ambao wameogopa na Kuhoji kwanini Kaachwa.

Leo GENTAMYCINE nitasema hapa Mambo Mawili tu kumhusu Mkude ambayo nina uhakika nayo kwa 100% na nayaandika hapa huku nikijiamini nayo kabisa.

1. Jonas Gerald Mkude ni mwana Yanga SC 100% ila alikuwa ni mwana Simba SC kwa Usoni tu na Kumridhisha Rafiki yake mkubwa Mwekezaji Mo Dewji ( kutokana na Kumfanyia Biashara moja hivi yenye Utajiri wa haraka ) miaka ya nyuma na pia Kumridhisha Kocha aliyemuibua Utotoni na mwana Simba SC Selemani Matola na Meneja Patrick Rweymamu.

2. Kwa tuliokuwa na mpaka leo tunashinda na Kukutana nae mara kwa mara Maskani za Kawe kwa Rafiki yake mkubwa Pazi, Kinondoni Kanisani Kwao kwa Rafiki yake mkubwa Chata na Tandale kwa Masela wake akina Dula, Zubery na Taita tukisikia uwezekano wa kwenda Yanga SC hatushangai kwani kila Akilewa Pombe na Mjiti wake husema kwa Sauti Kubwa kuwa lazima kabla ya Kustaafu kucheza Soka akacheze Yanga SC ili amfurahishe Mama yake Mzazi ambaye ni mwana Yanga SC lia lia.

Kwa faida yenu Jonas Mkude Siku nyingi ( Miaka mingi ) alikuwa akitaka kwenda Yanga SC ila aliyekuwa akimuogopa ni Marehemu Baba yake Mzazi ambaye alikuwa ni mwana Simba SC kindaki ndaki.

Kipindi Marehemu Baba yake anaugua wakati anakaribia Kufariki akiwa Mkoani Morogoro alimuita Mwanae Jonas Gerald Mkude pamoja na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC kipindi hicho Godfrey Nyange 'Kaburu' na Mmoja wa Waanzilishi wa Kundi la Friends of Simba Marehemu Zackaria Hanspoppe ambapo Marehemu Baba yake mbele yao alimwambia Mwanae Jonas kuwa aiheshimu sana Simba SC, wana Simba SC na Viongozi wa Simba SC kwani wamemjali mno japo hana Elimu Kubwa, wamemjengea Nyumba, wamempa Gari na wanamtunza Yeye Baba yake kipindi ambapo anaumwa hivyo Asante yake kwa Simba SC ni kwa Jonas Gerald Mkude kuendelea Kuichezea tu Simba SC na si kwenda Kwingineko.

Akienda Yanga SC laana hazimuachi.
 
Siku nyingi sana na hapa JamiiForums ( walio wengi watashuhudia kwa akina Tomaso waliojazana ) GENTAMYCINE nilisema kuwa kama kuna Mchezaji ambaye si tu ninammudu bali pia namjua ndani nje kwakuwa kakua namuona ni Jonas Gerald Mkude.

Na ndiyo maana baada ya Leo kusikia kuwa ana Uwezekano wa kwenda Yanga SC niliwashangaa mno wana Simba SC ambao wameogopa na Kuhoji kwanini Kaachwa.

Leo GENTAMYCINE nitasema hapa Mambo Mawili tu kumhusu Mkude ambayo nina uhakika nayo kwa 100% na nayaandika hapa huku nikijiamini nayo kabisa.

1. Jonas Gerald Mkude ni mwana Yanga SC 100% ila alikuwa ni mwana Simba SC kwa Usoni tu na Kumridhisha Rafiki yake mkubwa Mwekezaji Mo Dewji ( kutokana na Kumfanyia Biashara moja hivi yenye Utajiri wa haraka ) miaka ya nyuma na pia Kumridhisha Kocha aliyemuibua Utotoni na mwana Simba SC Selemani Matola na Meneja Patrick Rweymamu.

2. Kwa tuliokuwa na mpaka leo tunashinda na Kukutana nae mara kwa mara Maskani za Kawe kwa Rafiki yake mkubwa Pazi, Kinondoni Kanisani Kwao kwa Rafiki yake mkubwa Chata na Tandale kwa Masela wake akina Dula, Zubery na Taita tukisikia uwezekano wa kwenda Yanga SC hatushangai kwani kila Akilewa Pombe na Mjiti wake husema kwa Sauti Kubwa kuwa lazima kabla ya Kustaafu kucheza Soka akacheze Yanga SC ili amfurahishe Mama yake Mzazi ambaye ni mwana Yanga SC lia lia.

Kwa faida yenu Jonas Mkude Siku nyingi ( Miaka mingi ) alikuwa akitaka kwenda Yanga SC ila aliyekuwa akimuogopa ni Marehemu Baba yake Mzazi ambaye alikuwa ni mwana Simba SC kindaki ndaki.

Kipindi Marehemu Baba yake anaugua wakati anakaribia Kufariki akiwa Mkoani Morogoro alimuita Mwanae Jonas Gerald Mkude pamoja na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC kipindi hicho Godfrey Nyange 'Kaburu' na Mmoja wa Waanzilishi wa Kundi la Friends of Simba Marehemu Zackaria Hanspoppe ambapo Marehemu Baba yake mbele yao alimwambia Mwanae Jonas kuwa aiheshimu sana Simba SC, wana Simba SC na Viongozi wa Simba SC kwani wamemjali mno japo hana Elimu Kubwa, wamemjengea Nyumba, wamempa Gari na wanamtunza Yeye Baba yake kipindi ambapo anaumwa hivyo Asante yake kwa Simba SC ni kwa Jonas Gerald Mkude kuendelea Kuichezea tu Simba SC na si kwenda Kwingineko.

Akienda Yanga SC laana hazimuachi.
Mkude akipata usimamizi mzuri akawa na nidhamu ya maisha atacheza mpira miaka 4 ijayo kwa kiwango cha juu. Basi tu amewahi kujiona Fazza
 
Mashabiki wanaupenda tu mpira kutoka moyoni ili hali hawapati chochote zaidi ya mataokeo ya ushindi na kubeba vikombe ambavyo nyoyo zao husuuzika.

Ila kwa wachezaji mpira ni kazi, wanacheza mpira kupata pesa.
 
Siku nyingi sana na hapa JamiiForums ( walio wengi watashuhudia kwa akina Tomaso waliojazana ) GENTAMYCINE nilisema kuwa kama kuna Mchezaji ambaye si tu ninammudu bali pia namjua ndani nje kwakuwa kakua namuona ni Jonas Gerald Mkude.

Na ndiyo maana baada ya Leo kusikia kuwa ana Uwezekano wa kwenda Yanga SC niliwashangaa mno wana Simba SC ambao wameogopa na Kuhoji kwanini Kaachwa.

Leo GENTAMYCINE nitasema hapa Mambo Mawili tu kumhusu Mkude ambayo nina uhakika nayo kwa 100% na nayaandika hapa huku nikijiamini nayo kabisa.

1. Jonas Gerald Mkude ni mwana Yanga SC 100% ila alikuwa ni mwana Simba SC kwa Usoni tu na Kumridhisha Rafiki yake mkubwa Mwekezaji Mo Dewji ( kutokana na Kumfanyia Biashara moja hivi yenye Utajiri wa haraka ) miaka ya nyuma na pia Kumridhisha Kocha aliyemuibua Utotoni na mwana Simba SC Selemani Matola na Meneja Patrick Rweymamu.

2. Kwa tuliokuwa na mpaka leo tunashinda na Kukutana nae mara kwa mara Maskani za Kawe kwa Rafiki yake mkubwa Pazi, Kinondoni Kanisani Kwao kwa Rafiki yake mkubwa Chata na Tandale kwa Masela wake akina Dula, Zubery na Taita tukisikia uwezekano wa kwenda Yanga SC hatushangai kwani kila Akilewa Pombe na Mjiti wake husema kwa Sauti Kubwa kuwa lazima kabla ya Kustaafu kucheza Soka akacheze Yanga SC ili amfurahishe Mama yake Mzazi ambaye ni mwana Yanga SC lia lia.

Kwa faida yenu Jonas Mkude Siku nyingi ( Miaka mingi ) alikuwa akitaka kwenda Yanga SC ila aliyekuwa akimuogopa ni Marehemu Baba yake Mzazi ambaye alikuwa ni mwana Simba SC kindaki ndaki.

Kipindi Marehemu Baba yake anaugua wakati anakaribia Kufariki akiwa Mkoani Morogoro alimuita Mwanae Jonas Gerald Mkude pamoja na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC kipindi hicho Godfrey Nyange 'Kaburu' na Mmoja wa Waanzilishi wa Kundi la Friends of Simba Marehemu Zackaria Hanspoppe ambapo Marehemu Baba yake mbele yao alimwambia Mwanae Jonas kuwa aiheshimu sana Simba SC, wana Simba SC na Viongozi wa Simba SC kwani wamemjali mno japo hana Elimu Kubwa, wamemjengea Nyumba, wamempa Gari na wanamtunza Yeye Baba yake kipindi ambapo anaumwa hivyo Asante yake kwa Simba SC ni kwa Jonas Gerald Mkude kuendelea Kuichezea tu Simba SC na si kwenda Kwingineko.

Akienda Yanga SC laana hazimuachi.
Michael Owen amecheza Liverpool Kwa mafanikio akiwa shabiki nguli wa Man Utd mahasimu wakubwa wa Liverpool. Hii inatokea Tanzania na ulimwengu mweusi kutaka mchezaji wa timu awe shabiki wake wa utotoni.
 
Kwa hiyo rafiki yako Mkude ukawa unamwangalia tu anapokuambia anataka kuhamia yanga sababu ya mapenzi. Basi Wewe ni rafiki wa hovyo na vijana nawaasa wakitaka kufanikiwa kisoka wamuige Samatta, hajawahi kuzishobokea Simba na Yanga.Mpira ni kazi, pewa mkataba mnono piga kazi na ipende hiyo hiyo Klabu.
 
Yani umuache Morrison halafu ukaribishe wahuni wengine hivi mnaona Yanga hii haiko serious kama Simba?
..
20230621_215254.jpg
 
Hakika nchi hii ujinga ni mwingi mpaka leo unaamini mpira wa Mapenzi mahaba mpira ni pesa mpira ni maisha mbona feisal sikuona Laana yani wanasimba ndio mumpe za mkude laana wakati mmempa thank you wenyewe.

Punguza pumba wakati mwingine na bado kunawatu humu wanakuamini eti Laana you can’t be serious nenda kalishe familia yake
 
Michael Owen amecheza Liverpool Kwa mafanikio akiwa shabiki nguli wa Man Utd mahasimu wakubwa wa Liverpool. Hii inatokea Tanzania na ulimwengu mweusi kutaka mchezaji wa timu awe shabiki wake wa utotoni.

Ujinga ni mwingi sana hii nchi wacha hata Bandari iende kwa akili hizi
 
Kwa mara ya kwanza ninaamini ulichoandika,wachezaji mashabiki wa yanga waliopo simba kuna mkude,john bocco,kapombe,aishi manula
 
Mkude ni chezaji huru sasa, hivyo ana haki ya kuchezea timu yoyote itayomuhitaji iwe ni barcelona, Yanga, Man united na nyinginezo
 
Yani umuache Morrison halafu ukaribishe wahuni wengine hivi mnaona Yanga hii haiko serious kama Simba?
Ni Yanga hii hii ambayo ilimsajili Morisson aliyekuwa ameachwa kwa kutoonesha utulivu wa akili akiwa Simba. Na Yanga hii hii iliyomsajili Manara ambaye aliachwa Simba. Unasahau sheikh wangu. Sisi wanayanga ambao tulipinga tunakumbuka
 
Siku nyingi sana na hapa JamiiForums ( walio wengi watashuhudia kwa akina Tomaso waliojazana ) GENTAMYCINE nilisema kuwa kama kuna Mchezaji ambaye si tu ninammudu bali pia namjua ndani nje kwakuwa kakua namuona ni Jonas Gerald Mkude.

Na ndiyo maana baada ya Leo kusikia kuwa ana Uwezekano wa kwenda Yanga SC niliwashangaa mno wana Simba SC ambao wameogopa na Kuhoji kwanini Kaachwa.

Leo GENTAMYCINE nitasema hapa Mambo Mawili tu kumhusu Mkude ambayo nina uhakika nayo kwa 100% na nayaandika hapa huku nikijiamini nayo kabisa.

1. Jonas Gerald Mkude ni mwana Yanga SC 100% ila alikuwa ni mwana Simba SC kwa Usoni tu na Kumridhisha Rafiki yake mkubwa Mwekezaji Mo Dewji ( kutokana na Kumfanyia Biashara moja hivi yenye Utajiri wa haraka ) miaka ya nyuma na pia Kumridhisha Kocha aliyemuibua Utotoni na mwana Simba SC Selemani Matola na Meneja Patrick Rweymamu.

2. Kwa tuliokuwa na mpaka leo tunashinda na Kukutana nae mara kwa mara Maskani za Kawe kwa Rafiki yake mkubwa Pazi, Kinondoni Kanisani Kwao kwa Rafiki yake mkubwa Chata na Tandale kwa Masela wake akina Dula, Zubery na Taita tukisikia uwezekano wa kwenda Yanga SC hatushangai kwani kila Akilewa Pombe na Mjiti wake husema kwa Sauti Kubwa kuwa lazima kabla ya Kustaafu kucheza Soka akacheze Yanga SC ili amfurahishe Mama yake Mzazi ambaye ni mwana Yanga SC lia lia.

Kwa faida yenu Jonas Mkude Siku nyingi ( Miaka mingi ) alikuwa akitaka kwenda Yanga SC ila aliyekuwa akimuogopa ni Marehemu Baba yake Mzazi ambaye alikuwa ni mwana Simba SC kindaki ndaki.

Kipindi Marehemu Baba yake anaugua wakati anakaribia Kufariki akiwa Mkoani Morogoro alimuita Mwanae Jonas Gerald Mkude pamoja na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC kipindi hicho Godfrey Nyange 'Kaburu' na Mmoja wa Waanzilishi wa Kundi la Friends of Simba Marehemu Zackaria Hanspoppe ambapo Marehemu Baba yake mbele yao alimwambia Mwanae Jonas kuwa aiheshimu sana Simba SC, wana Simba SC na Viongozi wa Simba SC kwani wamemjali mno japo hana Elimu Kubwa, wamemjengea Nyumba, wamempa Gari na wanamtunza Yeye Baba yake kipindi ambapo anaumwa hivyo Asante yake kwa Simba SC ni kwa Jonas Gerald Mkude kuendelea Kuichezea tu Simba SC na si kwenda Kwingineko.

Akienda Yanga SC laana hazimuachi.
Fake news
 
Back
Top Bottom