Kuna watu najua wanaabudu vya zamani vitu vikongwe hio ni kawaida kwa watu wengi wapo hivyo watakuja kupinga ila huu ndio ukweli
Jonas Mkude ndio kiungo wa chini bora kuwahi kumuona Tanzania na huenda akawa bora kuliko wote.
Mkude ni modern midfielder anacheza kiungo wa chini lakini ni mbunifu ,viungo wengi wa chini haswa wa zamani ni wakabaji wazuri lakini footwork yao mbovu lakini kwa Mkude ni tofauti ni mzuri wa kupiga pasi na pass accuracy yake ni nzuri sana ,
Pili ni deep lying playmaker ni kiungo mbunifu anayecheza chini anapokea mipira kutoka kwa beki na kuanza kucheza timu kwa kupiga pass na kupokea na kutembeza pasi na kufanya timu imiliki mpira muda mrefu
Tatu ana akili na mtulivu anapokea pasi anatoa pasi anafungua chumba kingine na kupokea pasi na kutoa ,ukimtizama unaona muda wote ana hamu ya mpira anaomba
Tokea Mkude aanze kucheza Simba sijaona timu pinzani ikaishinda simba kwa umiliki wa mpira
Mawakala wamfanyie mpango Mkude ,Mkude ana kila sifa ya kucheza nje ya nchi
Jonas Mkude ndio kiungo wa chini bora kuwahi kumuona Tanzania na huenda akawa bora kuliko wote.
Mkude ni modern midfielder anacheza kiungo wa chini lakini ni mbunifu ,viungo wengi wa chini haswa wa zamani ni wakabaji wazuri lakini footwork yao mbovu lakini kwa Mkude ni tofauti ni mzuri wa kupiga pasi na pass accuracy yake ni nzuri sana ,
Pili ni deep lying playmaker ni kiungo mbunifu anayecheza chini anapokea mipira kutoka kwa beki na kuanza kucheza timu kwa kupiga pass na kupokea na kutembeza pasi na kufanya timu imiliki mpira muda mrefu
Tatu ana akili na mtulivu anapokea pasi anatoa pasi anafungua chumba kingine na kupokea pasi na kutoa ,ukimtizama unaona muda wote ana hamu ya mpira anaomba
Tokea Mkude aanze kucheza Simba sijaona timu pinzani ikaishinda simba kwa umiliki wa mpira
Mawakala wamfanyie mpango Mkude ,Mkude ana kila sifa ya kucheza nje ya nchi