- Thread starter
- #21
Umemuona juzi taifa akikichafua ,narudia tena hakuna kama mkude TanzaniaMkude huyu ambaye hata Timu ya Taifa hafurukuti? Ulizia wanawajua akina Ali Maumba(Coastal Union). Hussein Masha(Pamba & Simba). Isa Athumani( Yanga). Au Michael Paul "Nylon" ( Simba)
National team wanamuonea tu