Mkude ndiye kiungo bora wa chini kuwahi kutokea nchini?

Mkude ndiye kiungo bora wa chini kuwahi kutokea nchini?

Inategemea lini ulianza kufuatilia soka letu. Mimi nimeanza tangu miaka ya 1980 ambapo viungo bora kwa Yanga na Taifa Stars alikuwa Charles Boniface Mkwasa, pia alikuwepo Hussein Ngulungu wa Tumbaku ya Morogoro, na Mohammed Adolph Rishard wa Pan Africa na Taifa Stars, hao ndio walikuwa viungo wakabaji bora, hasa Charles Boniface.

Kwa Simba kulikuwa na Nico Njohole (Mapafu ya Mmbwa ) alikuwa hachoki na akihaha uwanja mzima. Baadae alikuja Ramadhani Lenny Maufi (Abega), huyo alikuwa vizuri sana, akichezea Simba na Taifa Stars na alienda kucheza Arabuni kabla ya kurejea Simba. Mkude anajitahidi na kwa kuwa bado ana muda mrefu wa kucheza iwapo atajitunza, anaweza kuweka historia.

Kwangu viungo wakabaji bora tangu miaka ya 1980 hadi leo ni hao.

Vv
asante sana kwa kuweka Kumbukumbu sawa
 
Kuna watu najua wanaabudu vya zamani vitu vikongwe hio ni kawaida kwa watu wengi wapo hivyo watakuja kupinga ila huu ndio ukweli

Jonas Mkude ndio kiungo wa chini bora kuwahi kumuona Tanzania na huenda akawa bora kuliko wote.

Mkude ni modern midfielder anacheza kiungo wa chini lakini ni mbunifu ,viungo wengi wa chini haswa wa zamani ni wakabaji wazuri lakini footwork yao mbovu lakini kwa Mkude ni tofauti ni mzuri wa kupiga pasi na pass accuracy yake ni nzuri sana ,


Pili ni deep lying playmaker ni kiungo mbunifu anayecheza chini anapokea mipira kutoka kwa beki na kuanza kucheza timu kwa kupiga pass na kupokea na kutembeza pasi na kufanya timu imiliki mpira muda mrefu


Tatu ana akili na mtulivu anapokea pasi anatoa pasi anafungua chumba kingine na kupokea pasi na kutoa ,ukimtizama unaona muda wote ana hamu ya mpira anaomba

Tokea Mkude aanze kucheza Simba sijaona timu pinzani ikaishinda simba kwa umiliki wa mpira

Mawakala wamfanyie mpango Mkude ,Mkude ana kila sifa ya kucheza nje ya nchi
Post ya kishabiki sana hii.
Unamuingelea Mkude tu Bila kumlinganisha. Hapo hamna comparison, kilichopo ni kumpamba Mkude
 
Mkude ana mapungufu mengi kuliko faida, kwenye transition yupo slow, anacheza back pass nyingi sana.Mzito Ku turn ana piga pass ulekeo mmoja tu, uelekeo ule anao tizama. Mzito/simzuri kwenye mipira yajuu,Ana bebwa na mfumo kwakua anazungukwa na viungo wengine wanne ,Angalia alipo achiwa acheze six bila viungo wasaidizi uone Kilimanjaro stars ilivyo teswa kwenye Challenge. Mzito kuitoa timu nyuma ili isogee kwenye goli la mpinzani.
Yeye mwenyewe yuko slow sana kimaamuzi. Ana achwa mbalisana na James Kotei kwa ubora katika eneo la namba sita.
Anacheza mamba mmoja tu. Kwaujumla hauziki nje ya nchi kwa namba anayo cheza kwa maana halisi ya mamba sita, labda afanye mabadiliko makubwa kwenye Soka lake.
Sifa ninayo iona kwake ni uwezo wa kuficha Mpira akiwa nao, anafaa kucheza timu ikiwa imeshinda ili a hold Mpira na si wakati timu inatafuta Ushindi.
Anapenda kufanya vitu visivyo na sababu yaani kucheza na jukwaa, Anatakiwa Ku focus kwenye mambo ya msingi ambayo ni kusaidia Mpira utoke kwenye eneo lake la goli kwa haraka na uhakika.
Good analysis
 
Kabla sijasema chochote naomba kujua uzao wako ni upi kati ya hizi 70's? 80's? 90's? 2000's? Maana watoto wa dotcom mnashida sana
 
Mkude huyu ambaye hata Timu ya Taifa hafurukuti? Ulizia wanawajua akina Ali Maumba(Coastal Union). Hussein Masha(Pamba & Simba). Isa Athumani( Yanga). Au Michael Paul "Nylon" ( Simba)

Wa miaka ya karibuni ni Selemani Matola. Hana mbwembwe but very industrious.
 
Mkude ana mapungufu mengi kuliko faida, kwenye transition yupo slow, anacheza back pass nyingi sana.Mzito Ku turn ana piga pass ulekeo mmoja tu, uelekeo ule anao tizama. Mzito/simzuri kwenye mipira yajuu,Ana bebwa na mfumo kwakua anazungukwa na viungo wengine wanne ,Angalia alipo achiwa acheze six bila viungo wasaidizi uone Kilimanjaro stars ilivyo teswa kwenye Challenge. Mzito kuitoa timu nyuma ili isogee kwenye goli la mpinzani.
Yeye mwenyewe yuko slow sana kimaamuzi. Ana achwa mbalisana na James Kotei kwa ubora katika eneo la namba sita.
Anacheza mamba mmoja tu. Kwaujumla hauziki nje ya nchi kwa namba anayo cheza kwa maana halisi ya mamba sita, labda afanye mabadiliko makubwa kwenye Soka lake.
Sifa ninayo iona kwake ni uwezo wa kuficha Mpira akiwa nao, anafaa kucheza timu ikiwa imeshinda ili a hold Mpira na si wakati timu inatafuta Ushindi.
Anapenda kufanya vitu visivyo na sababu yaani kucheza na jukwaa, Anatakiwa Ku focus kwenye mambo ya msingi ambayo ni kusaidia Mpira utoke kwenye eneo lake la goli kwa haraka na uhakika.
Umemchambua mpaka nimefurahi.Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo ss sote tunafaa kuwa makocha.Kwa uchambuzi huu ningeomba upewe timu yetu ya arsenal kama si ubaguzi wa rangi wa mbwa zile.
 
Hata Marehemu Godfrey Bonny tu hamfikii huko kwa akina Lenny mmeenda mbali
Fundi w mpira ambaye Tanzania hatukujua ubora n thamani yke ila huyu jamaa toka aondoke sijaona midifilder kisheti kama huyu. R. I. P. bro
 
Huu ni uongo. Mpira wa tanzania haukuwahi kuwa wa tofauti na sasa.... Hayo maneno eti zaman ndo kulikuwa na mpira ni uongo ambao unapaswa kutumika kuwadanganya watoto wadogo.i was there. Miaka ile ya beki hasifiwi kazi yake ni kuondoa mpira nyuma na wachezaji wengine kukimbia na mpira anao anao.... Unakuja kudanganya watu hapa... Si afadhali miaka hii hata pasi zipo na mashambulizi yanapangwa... Acheni uongo mkidhni wote ni kizazi za 90s humu ndani.
Ushawahi kumuona Steven Mussa,Elisha John, Athumani China, Nylon Michael Paul,Hassan Afif, Kasa Musa, Ally Maumba,Charles Mkwasa kwa uchache wao usingeandika huo utumbo
 
afadhali utumbo si kwetu tunalia ndizi... wewe umeandika choo kabisa. unadhan kutaja taja majina will make it special? niulize mimi sasa kuhusu akina hassan Afif, akina Athuman China, Michael Paul hawa ni kizazi cha late 80s mpaka 90s. go back a little bit far you dumb lady. everyday new things are born.... and i just wonder why you are so filled with hatred to the extent it crowd your judgement against Jonas Mkude. binadamu wanafiki huwa wanakuwa na tumbo la kuhara na kichefu chefu kwa mazuri yaliyopo.. huona ni bora wakathamini yaliyopita ku justify their grievances and hatred against who does better now. miaka kumi ijayo akitokea mwingine akasifiwa wivu utakushika utasema mchezaji mzuri alikuwa mkude.... unajaza choo tumboni hadi kwenye ubongo... ***** mbavu sana wewe. sijui kwa nini kizazi chenu hakikuungua kwenye sodoma na gomorrah au kuondoka na gharika wakati wa Nuhu mnaifanya dunia ionekane ina watu wengi kumbe wengine ni uchafu tu.

Ushawahi kumuona Steven Mussa,Elisha John, Athumani China, Nylon Michael Paul,Hassan Afif, Kasa Musa, Ally Maumba,Charles Mkwasa kwa uchache wao usingeandika huo utumbo
 
Mkude huyu ambaye hata Timu ya Taifa hafurukuti? Ulizia wanawajua akina Ali Maumba(Coastal Union). Hussein Masha(Pamba & Simba). Isa Athumani( Yanga). Au Michael Paul "Nylon" ( Simba)

Alikuwepo pia Gilbert Mahinya huyu alikuwa world class kama kina Franz Backenbeur: Alikuwa Sunderland afu Yanga wakamchukua.

Hapo ndiyo ukisema u Simba na Uyanga na pia watu wa siasa kutumia ofisi zao kutekeleza fitna kwenye soka nayo ni issue.
 
Back
Top Bottom