Mkude Simba Special Thread

Kweli maisha magumu kuna station ya tv ilisema Leo kipindi cha mapishi kitakuwa wali samaki... naona now wanaomba radhi eti watapika ugali na mchicha....

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwenye daladala kitoto cha nursery kinaimba: "Baba angekuwa jogoo, mama kuku, mimi ningekuwa kifaranga"....Watu kimya! Kikaendelea: "Baba angekuwa ng'ombe, na mama ng'ombe jike, mimi ningekuwa ndama".....Konda akaona kinamzingua akakiuliza: "je, baba yako angekuwa mlevi, na mama changudoa, we ungezaliwa nani?" katoto kakajibu: "ningekuwa konda wa daladala!"
Cjui nn kiliendelea....
Mana nmeshuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uume ndiyo nn mkuu? Sijaelewa kbsa
 
Uume ndiyo nn mkuu? Sijaelewa kbsa
JARIBU NA HII



Boy : baby mambo, leo unakuja,kama tulivyoongea jana?
Girl : Ndiyo my..
But baby Nikwambie kitu...
Boy : sema mpnz
Girl : Sasa mimi nitakujaje, nywele zipo hovyo sijaosha, wala kuset.. Alafu baby kucha zangu sijasafisha..
Nitumie pesa kidogo Kama 150,000/= hivi niende saloon..
Boy : Poa usijali subiri...
M-PESA : imethibitishwa 155,000/= salio lako jipya la M-PESA ni shilling 155,250/=....
Boy : Umeiona mpnz?
Girl: kimya
Boy : Mmh mbona hujibu?
Girl : Ooh sorry, my nimeiona, nilikuwa namuandalia baba chakula, ndiyo amerudi muda huu toka safari...
Mmh alafu sijui Kama ntaweza kutoka baby coz baba alivyorudi amenisema, juzi nilivyochelewa kurudi home, mama kamwambia kila kitu...
100(customer care Vodacom) : Karibu katika huduma ya watu waliotuma pesa kimakosa kupitia M-PESA...
Boy : Samahani nimetuma shillingi 155,000/= kwenda number xxxxx, naomba mnisaidie kuirudisha tafadhali...
100(customer care Vodacom) : OK subiri ombi lako linashughulikiwa na utarejeshewa kiasi hicho ndani ya masaa 24...
Girl (SMS imeingia toka M-PESA) : Imedhibitishwa kiasi cha shilling 155,000/= kilichotumwa kimakosa kimerudishwa, salio lako jipya la M-PESA ni shilling 250/=
Girl : Sasa baby ndiyo nini hivyo... [emoji7][emoji7]
Boy. Sio Mimi ni voda hao wamenionea huruma unavyo nichuna. [emoji23]
Girl. Aah baby voda gani wako ivyo
Girl.alafu Baba kalala nakuja nitumie basi
Boy. We njoo ila nishatumie iko buku jero now[emoji23]
 
Kuna mzee mmoja aliishi miaka mingi baada ya kujiona keshakua mzee akawaambia wanawe nitakapokufa mimi vunjeni hii nyumba nimeweka mali nyingi hapo chini

Baada ya kufa watoto walivunja ile nyumba na kukuta kasha

wakalifungua wakakuta karatasi imeandikwa kama nyinyi madume basi jengeni ya kwenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
*```Status zilizokiki kipindi cha JK```*
1. Nikiwa beach napunga upepo
2. With my kids enjoying the day
3. Wakati nipo na masela tukichafua Meza si mchezooo
4. Nikiwa natoka Airport kwenda home likizo
5. Enzi za ubora wangu
6. Feel blessed
7. Thankful
8. Nice Moment
9. Cheers
10. The day I enjoyed never ever
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

*```Status zinazoongoza wakati wa JPM.```*
1. Nimekukimbilia ewe bwana nisiaibike milele
2. Bwana ndiwe mchungaji wangu
3. Bwana ndiwe mweza wa yote
4. Ewe bwana nipiganie
5. Nitamshukuru bwana kila wakati
6. Bwana nipe macho nione
7. Sifa na shukrani zikurudia bwana
8. Mungu umemtupa mja wako
9. Bwana sikia kilio changu
10. Wamtumainio bwana ni kama mlima Sayuni.
 
Nimetumiwa sms na bodi ya mikopo kuwa nadaiwa .wamenipa siku 30 nijisalimishe.

Nimewambia mbona sijasoma chuo kikuu wananambia mbona kila siku najiunga vifurushi vya chuo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeipenda hiyo.
 
Reactions: PNC
Kuna sehemu nikipita huwa nanunua sambusa za kula kama tano hivi, sasa j'pili tulipokuwa kanisani mchungaji akasema watu tutubu dhambi zetu[emoji120] . Yule mzee muuza sambas akanyanyuka akaenda kutubu[emoji15] , basi akasema anaomba Mungu amsamehe kwa sababu huwa anaweka nyama ya mbwa kwenye sambusa. Yaani sijui hata yale mawe yalitoka wapi ndani ya kanisa, lakini hata mchungaji alirusha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Reactions: Lee
Huwa vinafanya nipunguze stress ..viva bwakila
 
dah...ngoja nilale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…