Mkude Vs Pappy Tshimbi nazi zaidi

Mkude Vs Pappy Tshimbi nazi zaidi

Unajua hoja yangu ya msingi lakini, au unataka kubishana kwa ajili ya kubishana? Narudia tena kukukumbusha na sidhani iwapo utaendelea kukariri ubishi huohuo nitaendelea kujibizana nawe. Nilichosema, na ndicho unavyosema wewe bila ya kujijua, ni kwamba ni sahihi kushindanisha wachezaji wawili wa nafasi tofauti uwanjani, kwa sababu vigezo vya msingi vya uchezaji ni kwa wachezaji wote, bila ya kujali nafasi wanazochezea. Na ushahidi wa hilo ni hiyo Ballon d’or inayoshindanisha wachezaji bila ya kujali nafasi wanazocheza. Kwa hivyo si makosa kushindanisha ni nani bora kati ya Tshishimbi na Mkude. Wassalaam!
Usibishane na shabiki.
 
Umelinganisha vizuri sana shemeji ( tumeoa mkurya).

Sawa Shemeji ila Mimi siyo Mkurya bali ni Mzanaki ( Tanzania ) na Mtutsi ( Rwanda ) 100% japo Wakurya nawaheshimu kwakuwa wote tunatoka Mkoa mmoja wa ' Mashujaa ' wa kweli wa Mara ( Musoma )
 
Sawa Shemeji ila Mimi siyo Mkurya bali ni Mzanaki ( Tanzania ) na Mtutsi ( Rwanda ) 100% japo Wakurya nawaheshimu kwakuwa wote tunatoka Mkoa mmoja wa ' Mashujaa ' wa kweli wa Mara ( Musoma )
OK. Huyu Shemeji wangu kwao Bumangi.
 
PAPY KABAMBA TSHITSHIMBI ni mchezaji mwenye kucheza nafasi nyingi uwanjani.

Ni mchezaji mwenye kujua timu yake inahitaji nn? Toka kwake.

Anajua kuwalinda mabeki wake anapokuwa na jukumu la kiungo mkabaji.

Anajua kupandisha timu na kupora mipira na kupiga pasi za mwisho na kufunga anapokuwa kiungo mshambuliaji.

SIFA YA MKUDE ni kukaba akiwa kiungo mkabaji ni mbishi na anauwezo mkubwa uliojificha ,anahitaji makocha bora au timu bora iili aoneshe zaidi alichonacho.
 
Leo ndo nimeona kuwa mkude ni zaidi ya shishi baby. katoa ulimi nje! Hadi kashindwa kumalizia gemu.
 
Back
Top Bottom