Mkufunzi wa Waamuzi Alfred Rwiza: Wote wanaosema Goli la Simba dhidi ya Mbeya kwanza ni offside wakapimwe akili

Mkufunzi wa Waamuzi Alfred Rwiza: Wote wanaosema Goli la Simba dhidi ya Mbeya kwanza ni offside wakapimwe akili

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
"Ni goli halali kabisa na ifike wakati sasa Watu wajitahidi sana Kusoma Sheria na Kanuni mpya za FIFA ili likitokea Jambo wawe wanaweza Kulitafsiri Kitaaluma na siyo Kishabiki.

Meddie Kagere anayeonekana kuwa mbele laiti katika ile move pale pale angefunga ndiyo ingekuwa ni Offside ila kwakuwa pamoja na Yeye kuwa mbele na kukatokea ile piga nikupige na Goli likafungwa na Chama (na si Yeye Kagere ) kwa 100% siyo Offside bali ni goli halali kabisa" Alfred Rwiza Mkufunzi wa Waamuzi nchini Tanzania.

Chanzo: EFM Sports Headquarters ya leo.

Nami namfahamisha tu Mkufunzi Alfred Rwiza kwamba hao ambao (Siyo Mbeya Kwanza FC) waliofungwa ndiyo wameumizwa zaidi na Ushindi wa Simba SC jana si tu wakipimwe Akili badala yake wakubali tu ile Kauli ya Kimaono ya aliyekuwa Kocha wao Mkuu Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) hasa pale aliposema (YouTube ipo) kuwa Mashabiki hao (wa Timu fulani walioumia zaidi) ni Nyani, Mbwa na Sokwe halafu hawajui kabisa Mpira.
 
Huyo mkufunze atuambie kipengele hiki kwenye law namba 11 kinamaanisha nini

player in an offside position at the moment the ball is played or touched by a team-mate is only penalised on becoming involved in active play by:

...

gaining an advantage by playing the ball or interfering with an opponent when it has:

rebounded or been deflected off the goalpost, crossbar or an opponent

been deliberately saved by any opponent

A player in an offside position receiving the ball from an opponent who deliberately plays the ball (except from a deliberate save by any opponent) is not considered to have gained an advantage.

A ‘save’ is when a player stops a ball which is going into or very close to the goal with any part of the body except the hands (unless the goalkeeper within the penalty area).

1.) So, it was offside, if the ball deflected off an opponent.

2) If it were a deliberate save by an opponent then again offside.

3) If it were a deliberate play by an opponent (that was not a save), then no offside.
View attachment 2112257
 
Wachambuzi wote pamoja na mwamuzi mstaafu Othman Kazi wamesema ile ni clear offside. Afu huyu jamaa ni mshamba sana. Sidhani kama alitafakari vzr kaba ya kutoa hayo maoni yake. Bila ya mpira kuguswa na Kagere, mfungaji angewezaje kuufikia mpira? Mavi kabisa
tunasimama na mkufunzi wa makocha muheshimiwa Alfed Rwiza msema haki wenye ukweli.
 
Ndio maana mkaitwa makolo, sisi tunafuata sheria inasemaje sio nani kasemaje, that was a clear offside.
Ignorance of the law has no defensive, bora mkae kimya kuliko kuendele kudhihirisha ukolo wenu
 
Ndio maana mkaitwa makolo, sisi tunafuata sheria inasemaje sio nani kasemaje, that was a clear offside.
Ignorance of the law has no defensive, bora mkae kimya kuliko kuendele kudhihirisha ukolo wenu
Sasa kama mnafuata sheria mtafsiri wa hizo sheria wakati mechi inaendelea ni nani? ba alitafsiri vipi hilo tukio?
 
Kumbe Mbeya City ina Mashabiki wengi maana wanaotokwa povu ni wengi mpaka nasangaa.

Ingekuwa Kagera vs Polisi hawa watoa povu wangekuwa wengi hivi?.
 
Wachambuzi wote pamoja na mwamuzi mstaafu Othman Kazi wamesema ile ni clear offside. Afu huyu jamaa ni mshamba sana. Sidhani kama alitafakari vzr kaba ya kutoa hayo maoni yake. Bila ya mpira kuguswa na Kagere, mfungaji angewezaje kuufikia mpira? Mavi kabisa
Othuman Kazi kasema lini na wapi?Nijuavyo kipyenga Cha mwisho Bado na ni wiki hii alhamisi!
Othuman Kazi huwa hatoi majibu nje ya kipindi chake!
 
Ndio maana mkaitwa makolo, sisi tunafuata sheria inasemaje sio nani kasemaje, that was a clear offside.
Ignorance of the law has no defensive, bora mkae kimya kuliko kuendele kudhihirisha ukolo wenu
Has no defensive,duuuh ungeandika kiswahili tu!
 
Has no defensive,duuuh ungeandika kiswahili tu!
Makolo bhana hasa ambacho hujaelewa hapo ni nini, hadi ume ni quote ina maana umeelewa point yangu ilikua wapi hayo mengine ni janja janja tu au kivuli cha kujifichia na kupoza machungu ya huu ukweli

Kolo fc wewe
 
Makolo bhana hasa ambacho hujaelewa hapo ni nini, hadi ume ni quote ina maana umeelewa point yangu ilikua wapi hayo mengine ni janja janja tu au kivuli cha kujifichia na kupoza machungu ya huu ukweli

Kolo fc wewe
Ungeandika kiswahili tu!
 
Sasa kama mnafuata sheria mtafsiri wa hizo sheria wakati mechi inaendelea ni nani? ba alitafsiri vipi hilo tukio?
Referees na vibendera wake ndio wanasimamia sheria ukisema kutafsiri wanaweza kutafsiri kwa matakwa yao kutokana na interest walizo nazo na ndicho kilichotokea badala wasimamie sheria inasema nini wao wakatafsiri kutokana na maslahi yao binafsi.

Ipo hivyo labda kama hawajui sheria na kama hawajui basi ni wazembe kwa kua hio ndio career yao wanatakiwa waende uwanjani wanazijua hizi sheria, it was a clear offside ambayo hata kwenye makosa ya kibinadamu huwezi kuiweka.

Kuna kosa anafanya refa kweli unasema hii kakosea kibinadamu lakini hapa kwa makolo fc ni mbeleko haina haja ya kupepesa macho, lile tukio wangelifanya Mbeya kwanza bila kupepesa macho wangeliamulia offside.
 
Usipanic,tunaelekezana tu Ili siku nyingine usitie aibu!
Come on WTF! hata nikitia aibu kwani kuna mtu ananijua humu, achana na mimi kwanza sijakuomba unielekeze huoni kama ni shobo dundo hizo

Usiharibu thread ya watu wala usituhamishe nje ya mada.
 
Come on WTF! hata nikitia aibu kwani kuna mtu ananijua humu, achana na mimi kwanza sijakuomba unielekeze huoni kama ni shobo dundo hizo

Usiharibu thread ya watu wala usituhamishe nje ya mada.
Relax,Sasa unapata hasira wakati kukosea umekosea wewe!
 
Relax,Sasa unapata hasira wakati kukosea umekosea wewe!
Usihamishe mada wewe kolo fc hayo ya mimi kukosea wewe hayakuhusu, mimi kukosea wewe unajali kama nani?

Ndo maana nasema umekaza shingo hapa sababu ndio kichaka cha kujifichia

Turudi kwenye theme ya thread kama huna la kuchangia kuhusu thread achana na mimi
 
Back
Top Bottom