Mkufunzi wa Waamuzi Alfred Rwiza: Wote wanaosema Goli la Simba dhidi ya Mbeya kwanza ni offside wakapimwe akili

Mkufunzi wa Waamuzi Alfred Rwiza: Wote wanaosema Goli la Simba dhidi ya Mbeya kwanza ni offside wakapimwe akili

Oyaaaa...uchune aiseee.
Jukwaa litageuka SOMALIA mda si mrefu.
Fahamu kuwa hatupendi kukosolewa hadharani, afadhali ungemfuata inbox.

Sent using Jamii Forums mobile app
Personal nipo normal kabisa kwenye keyboard zangu sina hata 1% ya kupanic au kuchukia cause its not a big deal, kukosea mimi sio wa kwanza, na wala sitokua wa mwisho

Nachomshangaa huyo chalii ni ameshindwa ku deal na thread inasema nini akachuja akaona mimi kwa kua nime comment against na interest zake kama fan wa kolo fc basi a deal na mimi badala ya thread, yani kaona mimi ndio kichaka cha kupunguzia hasira zake za ukweli kwamba kolo fc walibebwa
 
Personal nipo normal kabisa kwenye keyboard zangu sina hata 1% ya kupanic au kuchukia cause its not a big deal, kukosea mimi sio wa kwanza, na wala sitokua wa mwisho

Nachomshangaa huyo chalii ni ameshindwa ku deal na thread inasema nini akachuja akaona mimi kwa kua nime comment against na interest zake kama fan wa kolo fc basi a deal na mimi badala ya thread, yani kaona mimi ndio kichaka cha kupunguzia hasira zake za ukweli kwamba kolo fc walibebwa
Uchune tu...usi reply.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaendelea kuharibu. Neno 'personal' hapo lilipokaa sio sawa. Ushauri wa kwamba uanadike vizuri ni mzuri ili sisi unaotuandikia tukuelewe. Wacha ubishi, chukua ushauri huu positively ili upige hatua kiuandishi.
Personal nipo normal kabisa kwenye keyboard zangu sina hata 1% ya kupanic au kuchukia cause its not a big deal, kukosea mimi sio wa kwanza, na wala sitokua wa mwisho

Nachomshangaa huyo chalii ni ameshindwa ku deal na thread inasema nini akachuja akaona mimi kwa kua nime comment against na interest zake kama fan wa kolo fc basi a deal na mimi badala ya thread, yani kaona mimi ndio kichaka cha kupunguzia hasira zake za ukweli kwamba kolo fc walibebwa
 
Unaendelea kuharibu. Neno 'personal' hapo lilipokaa sio sawa. Ushauri wa kwamba uanadike vizuri ni mzuri ili sisi unaotuandikia tukuelewe. Wacha ubishi, chukua ushauri huu positively ili upige hatua kiuandishi.
Whatever, ila naomba tusiharibu uzi wa watu. Nyie semeni, nikosoeni kwangu its ok! Ila msituhamishe kwenye mada

Kaeni kwenye mada, halafu uandikaji wa humu sio official mkuu so usitake niandike kama vile naomba kazi au nafanya interview.

Kama mngekua na lengo la kunirekebisha au kunielekeza japo sijawaomba mngenifuata pm, mbali na hapo naona lengo lenu ni kuhamisha mada,

Ukiwa na mindset ya kuona makosa kwa mtu fulani kila kitu anachokifanya utaona ni makosa.
 
.
IMG_20220208_081920.jpg
 
Back
Top Bottom