Mkulima, naomba msaada nisiaibike

Mkulima, naomba msaada nisiaibike

antanarivo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2018
Posts
450
Reaction score
883
Wakuu nipo mkoa Fulani huku Kanda ya ziwa, nimelima mazao hekari 10. Nne za mahindi na 6 za mpunga

Kati ya hekari 4 za mahindi hekari 2 na nusu ziko vizuri na mbolea niliwekea so sasa hivi nasubiria kuvuna hii February

Kati ya hekari 6 za mpunga heka 4 na 1/2 nimeotesha vizuri na ekari 1 na 1/2 bado kupandikiza tu mbegu zipo kwenye kitalu

Ila nimekwama tu hela ya palizi hekari 1 na kupandikiza heka 1 na 1/2, kiasi Cha TSH 100000(laki moja)

Naomba mtu wa kuniamini niweze kumrudishia 120000 mwisho wa mwezi
Maana nipo dilema Kila nikipiga mawazo namna ya kujikwamua hapa naona stoki

Mwenye kuniamini aniamini wakuu..

Nimepambana sana Hadi kufikia hapa ila nataka kuaibika mwishoni

IMG_20231227_113627_534.jpg
 
Wakuu nipo mkoa Fulani huku Kanda ya ziwa, nimelima mazao hekari 10. Nne za mahindi na 6 za mpunga

Kati ya hekari 4 za mahindi hekari 2 na nusu ziko vizuri na mbolea niliwekea so sasa hivi nasubiria kuvuna hii February

Kati ya hekari 6 za mpunga heka 4 na 1/2 nimeotesha vizuri na ekari 1 na 1/2 bado kupandikiza tu mbegu zipo kwenye kitalu

Ila nimekwama tu hela ya palizi hekari 1 na kupandikiza heka 1 na 1/2, kiasi Cha TSH 100000(laki moja)

Naomba mtu wa kuniamini niweze kumrudishia 120000 mwisho wa mwezi
Maana nipo dilema Kila nikipiga mawazo namna ya kujikwamua hapa naona stoki

Mwenye kuniamini aniamini wakuu..

Nimepambana sana Hadi kufikia hapa ila nataka kuaibika mwishoni

View attachment 2861764
Ulifanikiwa kupiga palizi kwa wakati?
 
Back
Top Bottom