Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Nina rafiki zangu wanalima chai wilaya ya Rungwe, walikuwa wanalalamika bei ya chai ipo chini ukilinganisha na Kenya. Wanasema kilo moja wanauza 228Tshs, hawakusema bei ya Kenya ikabidi nitafiti. Nimeona msimu wa 2013/2014 kilo ilikuwa usd 35cents ambayo kwa sasa nikama Tsh 600!
Na hapo imepungua, msimu wa nyuma ilikuwa US 50cents. Najiuliza ni kwanini hawa wa Tanzania wanapunjwa hivi?
Mwenye habari tafadhali..
Na hapo imepungua, msimu wa nyuma ilikuwa US 50cents. Najiuliza ni kwanini hawa wa Tanzania wanapunjwa hivi?
Mwenye habari tafadhali..