Mkumbusheni mwamba wa Lusaka (Chama) kuwa juisi za wachezaji wa Al Ahly zimekuja kwa idadi hakuna Shea yake

Itafurahisha sana na leo akienda kuwaomba Juice. Kwa ajili ya comedy na sportmanship tu🤣🤣
 
Duh!..
 
Usipuuzwe![emoji120]
 
Post kama hizo zinasababisha JF ionekane kituko.

Zinapoteza maana halisi ya Home of great thinkers.
 
We baki na wachezaji wenu wa kichawi na majini.

Huku Simba utapigwa Mb,@
 
Huyo mmoja mbona wamemtoa jicho mapema.ataweza kweli?
 

Attachments

  • Screenshot_20240329_151400_Facebook.jpg
    111.1 KB · Views: 1
Rejea tukio la Aziz ki vs al ahly ndo utaelewa tunaongelea nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…