Mkumbusheni waziri wa Elimu

Mkumbusheni waziri wa Elimu

Mie niliisha jiandaa kisaikolojia nkaichagulia MTWARA na SONGEA na sidhani kama kuna worst places kama hizo.
 
wewe umepangwa kasulu kigoma nimeona jina lako!

Nikifika kule, kitu cha kwanza inabibi nijifunze jinsi ya kukwepa radi maana nasikia kule hata kipindi cha jua kali radi zinapiga.
 
jaman mbona kuna watu wanasema tayar wameona post zao na walikopangwa? hii ikoje waungwana!...
 
kuna watu kweli jaman wameshajua vituo vyao vya kazi asaiv tunavyoongea hata sielew walikoyapata hayo du kaz kwelkweli...

mi mwenyewe nshajua changu! Taja jina nikuangalizie!!
 
Nikifika kule, kitu cha kwanza inabibi nijifunze jinsi ya kukwepa radi maana nasikia kule hata kipindi cha jua kali radi zinapiga.

hahaha! Mi nawaza hayo mawese walah ntakuwa nakula chukuchuku! Dah!
 
hahaha! Mi nawaza hayo mawese walah ntakuwa nakula chukuchuku! Dah!
Kama unapenda mawese kwa Mwakyembe (KYELA) yapo mengi sana na kule suala la msosi halinaga shida kabisaaaaaaaaaa yaani ukiwa kule wembamba huo unapotea kabisaaa.......
 
Mimi nashangaa wamenipeleka tunduma nikafanye nini huko? Tunduma yenyewe nimesahau hata kwenye ramani imenilazimu kununua Atlasi. Nimeikuta huko mbea. Jamani hata sikuchagua huko. Kumbe uchaguzi haumati kitu. Loo!
 
Back
Top Bottom