Mi yangu macho na maskio! Hapa nawaza katavi,tandaimba,simiyu na kishumundu! Hahaha!loh! Mtafutano!
Kama unapenda mawese kwa Mwakyembe (KYELA) yapo mengi sana na kule suala la msosi halinaga shida kabisaaaaaaaaaa yaani ukiwa kule wembamba huo unapotea kabisaaa.......
jaman mbona kuna watu wanasema tayar wameona post zao na walikopangwa? hii ikoje waungwana!...
Hongera yangu mie kila msosi nakula bila tabu, we wapendelea maeneo gani?siyapendi banaa! Nikiyaskia harufu tu navomit!!
haha! Ntamuomba flash ya majina !!
Mimi nashangaa wamenipeleka tunduma nikafanye nini huko? Tunduma yenyewe nimesahau hata kwenye ramani imenilazimu kununua Atlasi. Nimeikuta huko mbea. Jamani hata sikuchagua huko. Kumbe uchaguzi haumati kitu. Loo!
mkuu, umejuaje?
Mimi nashangaa wamenipeleka tunduma nikafanye nini huko? Tunduma yenyewe nimesahau hata kwenye ramani imenilazimu kununua Atlasi. Nimeikuta huko mbea. Jamani hata sikuchagua huko. Kumbe uchaguzi haumati kitu. Loo!
Ha ha ha ha munkari noma
Hongera yangu mie kila msosi nakula bila tabu, we wapendelea maeneo gani?
Aise niangalizie ndugu.....Kama unaniruhusu niku PM tafadhali Munkarimi mwenyewe nshajua changu! Taja jina nikuangalizie!!
kwani kidogo??
Makete?khaaa! Hayo mafuta aisee hata yapikiwe nyama sigusi!! Hongera yako weye! Aah miye kule kwenye mabaridi mengi aisee!
Kesho tuambiane jama vituo hata kama mtu umepangwa kijiji cha didia huko
hahaha! Mkuu ndo wapi huko didia?wallah una ramani ya tanzania hapo?!!
Didia ipo shinyanga huko yn
Makete?
duu! Mayoo nene!! Nitakomaga mimi! Wakinipelekaga huko!! Hii! Sitayaona mabhugandho ya kariakoo tena! Jhamanii!!
Ha ha ha ha ya sawa na jina lake kuko dididi yn ni kijijini nasikia acha ee Mungu saidia tu dah