lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,164
IGWEEEEEEEEEEEEEE
Ile vita yangu na mkakati wa kutokomeza umasikini wa fikra na mawazo mgando unaendelea! Leo tunaanza episode 1.
Bwana X (Amegoma nisimtaje jina) ni muajiriwa wa wizara ya Y, tangia mwaka 90 na kitu. Bwana X alihamishwa kikazi tokea huku Dsm kwenda kibaha picha ya ndege katikati ya miaka ya tisini. Asili yake ni Singida. Mkewe ni mwalimu. Wizarani ni mtu wa kati mwenye cheo cha ofisa.
Baada ya kufika kibaha picha ya ndege miaka hio ya 90, bwana X alinunua ngombe mmoja Frishian(Sijui kama nimepatia) jike na kuanza kumfuga ili apate kujikimu kiuchumi. Enzi za mkapa mambo yalikuwa tight si mchezo. Kama ujuavyo hizi ngombe za broiler zinazaliana sanaaa. Basi ngombe akazaa jike, na ndama akazaa jike, na yule mkubwa akazaa jike tena. Akawa ana ng'ombe 4, majirani wakaanza kupiga makelele kuhusu hygene.
Bwana X akaenda kibahaa ndani ndani huko akanunua heka 60 kipindi hiko ni miaka ya mwnzoni mwa 2000, aliuziwa heka 10,000 ilikuwa pesa mingi coz kibaha viwanja vilikuwa 70,000. Akahamishia ng'ombe zile kule na kuajiri watu toka singida wakae hukohuko coz majani yalikuwa rahisi pia kupata. Akaanza kufuga na kuku za kienyeji, bata na mbuzi.
Mpaka kufikia 2003 bwana X alikuwa anakamua lita 60 asubuhi na jioni kila siku. Akanunua na pickup ya kusambazia maziwa huku dar. Akanunua na generator ili maziwa yawe fresh mda wote. Bwana X alijituma kushika tenda za kusupply maziwa wizara nyingi sana na makampuni mengi tu, na sababu ya stability sio rahisi kumnyanganya tenda.
Hadi kufikia 2010 bwana X alikuwa na Ngombe zipatazo 100 na zaidi (Walizaa wengine alienda kuongezea Momela Morogoro walikuwa na best breed) za kisasa na anakamua si chini ya lita 300 asubuhi na 300 jioni. Pia ana supply mbuzi hapo machinjioni, bata na kuku wa kienyeji na mayai yake hoteli mbalimbali za kitaliii. Lita saivi inauzwa wastani wa 800. Piga mbesa yake kwa siku. Si chini ya 1mill/day as profits. Kazi gani utalipwa 1mill/day labda mkurugenzi wa nini sijui.
Kifupi bwana X ni millionea. Anamiliki karanch chake. Na faida aliyopata kubwa ni kusomesha wanae U.S.A bila stress yoyote kwa ufahari, Hoteli kadhaa, na mali kibao haipendezi mimi kuzianika hapa. Ni mambo binafsi ya mtu (Chezeya TRA nyie)
Sio kwamba kwake ilikuwa tambarare, noooo! Ali persvere na kujicommit kuhakikisha anafanikisha azma yake. Akavuka vkwazo na sasa anakula kuku kwa mrija.
Wakazi wa kibahaa picha ya ndege, maili moja hapo na jirani nazani mwamjua uzuri huyu mjasiria mali wenu.! Supplier mkubwa wa maziwa Na mnisaidie kuprove kuwa he made things happen na sijatunga.
So wale wa mikoani kazi kwenu.
Ile vita yangu na mkakati wa kutokomeza umasikini wa fikra na mawazo mgando unaendelea! Leo tunaanza episode 1.
Bwana X (Amegoma nisimtaje jina) ni muajiriwa wa wizara ya Y, tangia mwaka 90 na kitu. Bwana X alihamishwa kikazi tokea huku Dsm kwenda kibaha picha ya ndege katikati ya miaka ya tisini. Asili yake ni Singida. Mkewe ni mwalimu. Wizarani ni mtu wa kati mwenye cheo cha ofisa.
Baada ya kufika kibaha picha ya ndege miaka hio ya 90, bwana X alinunua ngombe mmoja Frishian(Sijui kama nimepatia) jike na kuanza kumfuga ili apate kujikimu kiuchumi. Enzi za mkapa mambo yalikuwa tight si mchezo. Kama ujuavyo hizi ngombe za broiler zinazaliana sanaaa. Basi ngombe akazaa jike, na ndama akazaa jike, na yule mkubwa akazaa jike tena. Akawa ana ng'ombe 4, majirani wakaanza kupiga makelele kuhusu hygene.
Bwana X akaenda kibahaa ndani ndani huko akanunua heka 60 kipindi hiko ni miaka ya mwnzoni mwa 2000, aliuziwa heka 10,000 ilikuwa pesa mingi coz kibaha viwanja vilikuwa 70,000. Akahamishia ng'ombe zile kule na kuajiri watu toka singida wakae hukohuko coz majani yalikuwa rahisi pia kupata. Akaanza kufuga na kuku za kienyeji, bata na mbuzi.
Mpaka kufikia 2003 bwana X alikuwa anakamua lita 60 asubuhi na jioni kila siku. Akanunua na pickup ya kusambazia maziwa huku dar. Akanunua na generator ili maziwa yawe fresh mda wote. Bwana X alijituma kushika tenda za kusupply maziwa wizara nyingi sana na makampuni mengi tu, na sababu ya stability sio rahisi kumnyanganya tenda.
Hadi kufikia 2010 bwana X alikuwa na Ngombe zipatazo 100 na zaidi (Walizaa wengine alienda kuongezea Momela Morogoro walikuwa na best breed) za kisasa na anakamua si chini ya lita 300 asubuhi na 300 jioni. Pia ana supply mbuzi hapo machinjioni, bata na kuku wa kienyeji na mayai yake hoteli mbalimbali za kitaliii. Lita saivi inauzwa wastani wa 800. Piga mbesa yake kwa siku. Si chini ya 1mill/day as profits. Kazi gani utalipwa 1mill/day labda mkurugenzi wa nini sijui.
Kifupi bwana X ni millionea. Anamiliki karanch chake. Na faida aliyopata kubwa ni kusomesha wanae U.S.A bila stress yoyote kwa ufahari, Hoteli kadhaa, na mali kibao haipendezi mimi kuzianika hapa. Ni mambo binafsi ya mtu (Chezeya TRA nyie)
Sio kwamba kwake ilikuwa tambarare, noooo! Ali persvere na kujicommit kuhakikisha anafanikisha azma yake. Akavuka vkwazo na sasa anakula kuku kwa mrija.
Wakazi wa kibahaa picha ya ndege, maili moja hapo na jirani nazani mwamjua uzuri huyu mjasiria mali wenu.! Supplier mkubwa wa maziwa Na mnisaidie kuprove kuwa he made things happen na sijatunga.
So wale wa mikoani kazi kwenu.