MKURABITA! Historia za Kweli jinsi wadau(Tz) walivotoka kiuchumi. Ngombe 1 mpaka kumiliki Ranch!

MKURABITA! Historia za Kweli jinsi wadau(Tz) walivotoka kiuchumi. Ngombe 1 mpaka kumiliki Ranch!

Pia washauri vijana watakaokimbilia kufuga kwa wasifungie ming'ombe yao kwenye nyumba wanazoishi, harufu ya mbolea ya mifugo sio nzuri kwa watoto. Ukiamua kufuga ingia zako Mkuranga huko nunua hata ekari mbili peleka mifugo huko. Unakuta mtu anafuga ng'ombe wa maziwa SINZA, how come?

Kwa wale wasiopenda utajiri wa haraka haraka twendeni tukapande MITIKI, ukipanda miti ya mitiki leo utataabika kwa miaka 15 tu baada ya hapo wewe unakuwa unakula kiulaini tu. Fursa ziko nyingi nchi hii tatizo hatujishugulishi, wote tunarundikana kwenye foleni asubuhi na jioni kwenda mjini badala ya kupishana wengine wanaenda mjini wengine tunaenda shambani.
KWA HIYO TULIOKULIA KIJIJINI TUNALALA NYUMBA MOJA NA NDAMA, MBUZI n.k tumeathirika na harufu ya mbolea?
 
mbona unaponda sana waajiriwa, na wakati huo huo unahimiza watu wawekeze, je kwani hao wawekezaji hawatahitaji wafanyakazi (kufanya wengine watumwa wao kama wewe unavyowaita wafanyakazi kuwa ni watumwa). Mimi nikijua hii biashara ni yako huwezi kuniajiri kwa kuwa unafikiri waajiriwa ni watumwa

Ofcourse its a fact kuwa ni utumwa kuajiriwa coz lazima ufanye atakavo muajiri wako lasivo anakufukuza au kukuomba uondoke mwenyewe!!!!!!!! (Pardon me i have got no sense of humor)
 
IGWEEEEEEEEEEEEEE

Ile vita yangu na mkakati wa kutokomeza umasikini wa fikra na mawazo mgando unaendelea! Leo tunaanza episode 1.

Bwana X (Amegoma nisimtaje jina) ni muajiriwa wa wizara ya Y, tangia mwaka 90 na kitu. Bwana X alihamishwa kikazi tokea huku Dsm kwenda kibaha picha ya ndege katikati ya miaka ya tisini. Asili yake ni Singida. Mkewe ni mwalimu. Wizarani ni mtu wa kati mwenye cheo cha ofisa.

Baada ya kufika kibaha picha ya ndege miaka hio ya 90, bwana X alinunua ngombe mmoja Frishian(Sijui kama nimepatia) jike na kuanza kumfuga ili apate kujikimu kiuchumi. Enzi za mkapa mambo yalikuwa tight si mchezo. Kama ujuavyo hizi ngombe za broiler zinazaliana sanaaa. Basi ngombe akazaa jike, na ndama akazaa jike, na yule mkubwa akazaa jike tena. Akawa ana ng'ombe 4, majirani wakaanza kupiga makelele kuhusu hygene.

Bwana X akaenda kibahaa ndani ndani huko akanunua heka 60 kipindi hiko ni miaka ya mwnzoni mwa 2000, aliuziwa heka 10,000 ilikuwa pesa mingi coz kibaha viwanja vilikuwa 70,000. Akahamishia ng'ombe zile kule na kuajiri watu toka singida wakae hukohuko coz majani yalikuwa rahisi pia kupata. Akaanza kufuga na kuku za kienyeji, bata na mbuzi.

Mpaka kufikia 2003 bwana X alikuwa anakamua lita 60 asubuhi na jioni kila siku. Akanunua na pickup ya kusambazia maziwa huku dar. Akanunua na generator ili maziwa yawe fresh mda wote. Bwana X alijituma kushika tenda za kusupply maziwa wizara nyingi sana na makampuni mengi tu, na sababu ya stability sio rahisi kumnyanganya tenda.

Hadi kufikia 2010 bwana X alikuwa na Ngombe zipatazo 100 na zaidi (Walizaa wengine alienda kuongezea Momela Morogoro walikuwa na best breed) za kisasa na anakamua si chini ya lita 300 asubuhi na 300 jioni. Pia ana supply mbuzi hapo machinjioni, bata na kuku wa kienyeji na mayai yake hoteli mbalimbali za kitaliii. Lita saivi inauzwa wastani wa 800. Piga mbesa yake kwa siku. Si chini ya 1mill/day as profits. Kazi gani utalipwa 1mill/day labda mkurugenzi wa nini sijui.

Kifupi bwana X ni millionea. Anamiliki karanch chake. Na faida aliyopata kubwa ni kusomesha wanae U.S.A bila stress yoyote kwa ufahari, Hoteli kadhaa, na mali kibao haipendezi mimi kuzianika hapa. Ni mambo binafsi ya mtu (Chezeya TRA nyie)

Sio kwamba kwake ilikuwa tambarare, noooo! Ali persvere na kujicommit kuhakikisha anafanikisha azma yake. Akavuka vkwazo na sasa anakula kuku kwa mrija.

Wakazi wa kibahaa picha ya ndege, maili moja hapo na jirani nazani mwamjua uzuri huyu mjasiria mali wenu.! Supplier mkubwa wa maziwa Na mnisaidie kuprove kuwa he made things happen na sijatunga.

So wale wa mikoani kazi kwenu.

Safi sana dada kwa uhamasishaji.
Ebu weka ni mifano yako binafsi kadhaa itujaze mori!
 
Kupanga ni kuamua, lara 1 unaogopa kuweka mali nyingine kisa TRA huo ni ushahidi tosha kwamba kuna utapeli mwingi, dhuluma na ukandamizaji ulifanyika kulimbikiza hivyo alivyopata. Kuna watu wanapenda kuongelea mafanikio lakini ukweli unabakia kuwa markets nchini bila hujuma huwezi kuwa mega-enterpreneur. Kama mafanikio yanacost dhuluma na fitina lets stay in the middle class.

i like it.
 
Kujiajili ni vita sio tambarare. Thiery ni simple practical ni vita.
 
IGWEEEEEEEEEEEEEE

Ile vita yangu na mkakati wa kutokomeza umasikini wa fikra na mawazo mgando unaendelea! Leo tunaanza episode 1.

Bwana X (Amegoma nisimtaje jina) ni muajiriwa wa wizara ya Y, tangia mwaka 90 na kitu. Bwana X alihamishwa kikazi tokea huku Dsm kwenda kibaha picha ya ndege katikati ya miaka ya tisini. Asili yake ni Singida. Mkewe ni mwalimu. Wizarani ni mtu wa kati mwenye cheo cha ofisa.

Baada ya kufika kibaha picha ya ndege miaka hio ya 90, bwana X alinunua ngombe mmoja Frishian(Sijui kama nimepatia) jike na kuanza kumfuga ili apate kujikimu kiuchumi. Enzi za mkapa mambo yalikuwa tight si mchezo. Kama ujuavyo hizi ngombe za broiler zinazaliana sanaaa. Basi ngombe akazaa jike, na ndama akazaa jike, na yule mkubwa akazaa jike tena. Akawa ana ng'ombe 4, majirani wakaanza kupiga makelele kuhusu hygene.

Bwana X akaenda kibahaa ndani ndani huko akanunua heka 60 kipindi hiko ni miaka ya mwnzoni mwa 2000, aliuziwa heka 10,000 ilikuwa pesa mingi coz kibaha viwanja vilikuwa 70,000. Akahamishia ng'ombe zile kule na kuajiri watu toka singida wakae hukohuko coz majani yalikuwa rahisi pia kupata. Akaanza kufuga na kuku za kienyeji, bata na mbuzi.

Mpaka kufikia 2003 bwana X alikuwa anakamua lita 60 asubuhi na jioni kila siku. Akanunua na pickup ya kusambazia maziwa huku dar. Akanunua na generator ili maziwa yawe fresh mda wote. Bwana X alijituma kushika tenda za kusupply maziwa wizara nyingi sana na makampuni mengi tu, na sababu ya stability sio rahisi kumnyanganya tenda.

Hadi kufikia 2010 bwana X alikuwa na Ngombe zipatazo 100 na zaidi (Walizaa wengine alienda kuongezea Momela Morogoro walikuwa na best breed) za kisasa na anakamua si chini ya lita 300 asubuhi na 300 jioni. Pia ana supply mbuzi hapo machinjioni, bata na kuku wa kienyeji na mayai yake hoteli mbalimbali za kitaliii. Lita saivi inauzwa wastani wa 800. Piga mbesa yake kwa siku. Si chini ya 1mill/day as profits. Kazi gani utalipwa 1mill/day labda mkurugenzi wa nini sijui.

Kifupi bwana X ni millionea. Anamiliki karanch chake. Na faida aliyopata kubwa ni kusomesha wanae U.S.A bila stress yoyote kwa ufahari, Hoteli kadhaa, na mali kibao haipendezi mimi kuzianika hapa. Ni mambo binafsi ya mtu (Chezeya TRA nyie)

Sio kwamba kwake ilikuwa tambarare, noooo! Ali persvere na kujicommit kuhakikisha anafanikisha azma yake. Akavuka vkwazo na sasa anakula kuku kwa mrija.

Wakazi wa kibahaa picha ya ndege, maili moja hapo na jirani nazani mwamjua uzuri huyu mjasiria mali wenu.! Supplier mkubwa wa maziwa Na mnisaidie kuprove kuwa he made things happen na sijatunga.

So wale wa mikoani kazi kwenu.
stori nzuri sana lakini kimsingi huyo ni mtu wa makamo ambae umri umeenda...maana ukitoa tangu alivyoanza kazi from 90's si less than 18 yrs or so..design anagonga..40..something huko mim nikajua ni mwenzangu na mie around mid twenties or early 30's..so kwa utu uzima wake ni kheri yake..all in all point ya msingi ni uwekezaji ambayo nimeshainote..OVER..!!!
 
Back
Top Bottom