MKURABITA!!!!!! Mchawi Wa Maendeleo Yako Ni Wewe Mwenyew ( Burning the bridge na Kuamua Kuwa Tajiri)

MKURABITA!!!!!! Mchawi Wa Maendeleo Yako Ni Wewe Mwenyew ( Burning the bridge na Kuamua Kuwa Tajiri)

kweli kabisa uko sahihi lazima ujitoe unapofanya kitu chochote chenye gharama lazima ikugharimu
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!

Episode 3.

Historia ya Burning the bridge concept!!!!!!!!!!!!!!
Wakati wa vita kuu vya pili vya dunia, katika moja ya uwanja wa vita, jeshi la Manazi wa Kijerumani lilikuwa likipambana na jeshi lingine na wakawa wamezidiwa nguvu vibaya mno! Wakaanza kurudi nyuma baada ya kupewa cha mtemakuni! Kamanda wa Manazi wale wa Kijerumani akaona ishakuwa soo, sasa ikambidi afanye maamuzi magumu!

Ili warudi kijiji kinachofuata ilibidi wavuke daraja ambalo chini kuna mto mkbwa na mamba wengi! Sasa kama mjuavyo madaraja mengi miaka hio ya 40 yalikuwa ya mbao! Kamamnda wa Kinazi akafanya maamuzi magumu ya kuliwasha moto kwa bomu daraja! Kisha akatoa angalizo na muongozo.

Hakuna tena daraja wala hakuna jinsi yoyote ya kurudi nyuma zaidi, hapo kinachobidi ni either wapambane waende mbele ama wazembee waje wamalizwe na jeshi lingine wachukuliwe mateka au wajitose mtoni waliwe na mamba! There is only 1 way out! Either take the way or perish! Walipambana hadi wakashinda na kusonga mbele.


Sasa hata sisi wengi wetu kwenye maisha yetu kilicho katikati yetu na mafanikio yetu ni sisi wenyewe na woga wetu ama kurizika. Inatupasa kuburn madaraja yaliyo kati yetu na umasikini wetu na kuamua iwe isiwe siwezi kurudi nilikotoka au kubaki hapa nilipo!!!!!!!!! Period

Burning the bridge inahusisha Kufanya maamuzi magumu ya kudhubutu ama kujitosa mzimamzima bila kugeuka nyuma! Hapa ndipo ugumu ulipo! Na wengi hapa ndipo wanapoishia na ndoto kubakia ndoto bila kutekeleza. You realy need bigger balls here!

1.Upo kazini unasema nitaacha kazi nisimamie biashara kikamilifu ama nisimamie kampuni yangu kikamilifu. Nitaacha! Nitaacha! Mpaka unastaafu. Hukudhubutu kuburn the bridge!

2. Nitaanza mitihani ya bodi, nitaanza nitaanza! Mpaka unazeeka majukumu yanakuzidi ndo basi tena.

3. Nitaanzisha biashara, nitaanzisha nitaanzisha mpakaaaa!!!!!!!! Huanzi chochote!

Wengi wetu hapa ndo shughuli ilipo. Kama umekosa internal force ya kufanya kitu basi tafuta external force iwe kama push!!!!!!! Kama ni mitihani ya bodi funga macho kalipe ada! Trust me utapata tu appettite ya kusoma. Kama ni biashara piga simu kwa dalali akutafutie fremu, kama ni kampuni kaisajili. You have to start some where!

ITS EITHER NOW OR NEVER!!!!!!!!!! Jiulize mara ngapi umeahirisha!!!!!!! What makes you think kama hukuanza jana, kesho utaanza!!!!!!!!!!!

Remember

IN THIS LIFE WE GET FEW CHANCES AND IF YOU DONT GRAB THEM TIGHTLY BY THE BALLS YOU WILL END UP WONDERING HOW YOU BECAME SECOND RATED IN LIFE!!!!!!!!!!!!

Sasa the few chances are wearing down. School tick, Job tick, Good salary tick. Who knows how many chances are left?

Hapo usiguse Lara,...maumivu yake usisimuliwe!
 
sijui kwa nini hii thread haijapata wachangiaji wa kutosha.
Bid up LARA
 
Lara1 naona siku hizi ushakuwa mjasilia mali
 
mm nilipomjua lara1 na mathread yake lizani ni lishangingi fulani hivi, sasa nilipoona ule uzi wake wa mwanzo episode 1, nikajiuliza kulikoni tena... sasa tena na tena nazidi kubadili kabs mtizamo wangu juu ya lara1.

hongera san lara1 na ubarikiwe na huu uzi
 
So inspirational lara 1. Ni kweli unayosema. Binafsi nimeanza kuona mafanikio ktk project yangu ya ku design logo na today I just got payed advance na client wangu yuko London. Na I have 2 projects na mteja wangu mwingine ambaye yuko Palestina. Ni kwa sababu nili burn the bridge. Nakesha nikifanya kazi na sina muda hata kidogo Wa kukaa maskani. Ukimuomba Mwenyezimungu kisha uka believe in yourself kisha ukafanya kazi kwa bidii utafanikiwa maana kazi ni ibada na Mola hamtupi Mja wake
 
Last edited by a moderator:
sijui kwa nini hii thread haijapata wachangiaji wa kutosha.
Bid up LARA
Maneno haya yanawachoma watu wengi, uchomaji wa madaraja ndo unafanya wasichangie sana mana bado hawana alternatives.

Zaidi ya reality hii nadhan tungeenda mbele na kuelezana alternatives. For instance nnapoamua kuchoma daraja, niipigane vipi vita hiyo. Labda pale wizara ya kilimo kuna fursa hii na hii, Pale wizara ya kazi na vijana kuna fursa hii na hii, pale sido may be kuna hili na hili, pale wanasupport vikundi or individuals etc.

Wapo wengine wasiojua hata pa kuanzia ingawa in the real sense wana wish kuchoma madaraja yao, wapo wengine ambao madaraja yao yalishaungua siku nyingi, yan wanasubiria tu adui afike kummaliza, coz hawana alternatives au hawajui wap pa kuanzia.

So tu my opinion, nadhan ipo haja ya kusaidiana kuainisha fursa mbalimbali ambazo zinatolewa na serikali au zilizopo ktk kufikia malengo. I know serikali yetu ina mipango mingi mizuri kuwezesha vijana kujikwamua. Na njia nyepesi katika kupata information hizo tembelea mabanda mbalimbali wakati wa 77, utajifunza mengi mengi sana ambayo yanaweza kukumotivate uchome daraja na kupambana.
 
Suala la kuchoma madaraja kama ulivyoliita ndilo linalowaumiza na kuwafanya wafe masikini baadhi ya watumishi wa kada fulani, mfano walimu wa shule za msingi na sekondari. Kuna kijanaamejikongoja akasoma masters, alipomaliza akarudi kwa mwajiri wake, basi ana mwaka wa tano sasa anaendelea kushika chaki kijijini. Analalamika eti hawa,pandishi cheo. Kwa hiyo yeye aliongeza elimu ili apate cheo. Pamoja na masters yake amekuwa mvivu wa kufikiri na mgumu wa kuvunja madaraja. Naamini angechukua maamuzi magumu sasa hivi angekuwa mbali sana
 
Back
Top Bottom