Latoyamrosso
Member
- Oct 26, 2019
- 26
- 12
Habari, nauza shamba heka 10 na heka 4 zipo kijiji cha pili kutoka kimanzichana kilometer moja kutoka barabara ya kilwa.
Shamba la heka 10 ni shamba Pori linafaa kwa kilimo na ufugaji, matumizi ya baadae litafaa kukata Viwanja maana barabara ya kilwa ikipanuliwa yenyewe itakuwa kiwanja cha kwanza hili lote nauza kwa 15m bei inaongeleka na inapunguzika.
Heka nne zipo eneo moja na hill la heka 10 linatofautishwa na shamba la mtu katikati, la heka nne ni shamba safi lina minazi, mikorosho na mananasi bei yake ni 7m kwa lote bei ina maongezi kidogooo.
Karibu sana ujipatie shamba kutoka Mkuranga.
Kwa mawasiliano
0686598829
Shamba la heka 10 ni shamba Pori linafaa kwa kilimo na ufugaji, matumizi ya baadae litafaa kukata Viwanja maana barabara ya kilwa ikipanuliwa yenyewe itakuwa kiwanja cha kwanza hili lote nauza kwa 15m bei inaongeleka na inapunguzika.
Heka nne zipo eneo moja na hill la heka 10 linatofautishwa na shamba la mtu katikati, la heka nne ni shamba safi lina minazi, mikorosho na mananasi bei yake ni 7m kwa lote bei ina maongezi kidogooo.
Karibu sana ujipatie shamba kutoka Mkuranga.
Kwa mawasiliano
0686598829