DOKEZO Mkurugenzi City Casino Mbeya ambaye ni raia wa kigeni atishia kuua Waandishi wa Habari wanaofuatilia tuhuma za kumfanyia ukatili mke wa mtu

DOKEZO Mkurugenzi City Casino Mbeya ambaye ni raia wa kigeni atishia kuua Waandishi wa Habari wanaofuatilia tuhuma za kumfanyia ukatili mke wa mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwao anaweza fanya hivyo

Lazima mama wa watu kaparangishwa kwa mparange mbele tu asingelia hivyo
 
Wabulgaria mafia sana,sana sana hao wanaojishugulisha makamali...wanakuwaga na mambo ya kishenz sana

Ova
Watu wa Ulaya mashariki mafia sana, hawana tofauti na walatino. Siyo wa kuwakaribisha kama wawekezaji.
 
Back
Top Bottom