KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Poleni sana, makampuni mengi ya ulinzi mnachangamoto sana...


Cc: Mahondaw
January 2025 hiyo maumivu ni yale yale mlitegemea walipo lakini hayapo na hayatakuwepo Msanii Udart Trainee na wengineo wanaofanya ukorokoroni viunga vya U, G, K, W wakiwa ndani ya basi lililopakwa rangi mpya lakini dereva, kondakta na mmiliki wabinafsi wasiopenda kurejesha hamasa kwa mteja anayesababisha wao kupata keki yenye siagi.
 
Akiacha kazi wewe unafaidikaje na ule mshahara aliokuwa analipwa ? GARDAWORLD NI KAMPUNI BOVU HATA MIGODINI HALINA MAPUMZIKO KAMA MAKAMPUNI MENGINE.
Sasa mkuu blessings wajinasuaje vijana na wazee wetu waliorithiwa na kampuni hiyo ya kigeni iinayosemekana haijali kuboresha maslahi ya mfanyakazi wa kawaida hasa mlinzi? Maana ni kwelie kila unayekutana naye analalamikia uongozi , unyanyasaji na maslahi hakuna
 
Mkuu limefikia wp hili swala
 
Kwenda mahaksmsni mtapoteza muda, nchi hii imejaa rushwa balaa,huko nilipotoka, tulifungua kesi kudai mafao, mwenye kampuni, alihonga hskimu, aliposhindwa kumuhonga wakili wetu,akamtumia majambazi usiku!kesi Ikaishia hapo, mwaka wa 15 sasa! Hatukupata kitu!
 

Kampuni haina kiongozi anaeitwa LUQMAY na simjui ni nani. Kingine kampuni haimlazimishi mtu kufanya kazi unaweza uka resign ukaenda huko G3S na SGx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…