Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
Hahahaha familiaWalinz watu poa Sana. Ukiwa na demu usiku maeneo Yao ya ulinzi short-time anakulinda kwa 5,000 unakojoa fresh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha familiaWalinz watu poa Sana. Ukiwa na demu usiku maeneo Yao ya ulinzi short-time anakulinda kwa 5,000 unakojoa fresh
Ni kweli kwenye kikao mliwawekea spika? Mkawa mnaongea nao bila kuwaona? Kwa kauli yako tu hapa ni dhahiri mna shidaKampuni haina kiongozi anaeitwa LUQMAY na simjui ni nani. Kingine kampuni haimlazimishi mtu kufanya kazi unaweza uka resign ukaenda huko G3S na SGx
Kampuni haina kiongozi anaeitwa LUQMAY na simjui ni nani. Kingine kampuni haimlazimishi mtu kufanya kazi unaweza uka resign ukaenda huko G3S na
Mjitafakari mna ujinga mwingi sana Viongozi wa GARDAWORLD alafu hamtumii akili bali mnatumia matako yenu , ninawaona walinzi wenu wanavyoteseka hapo GGML na bado ni sub contractor ,kuna mmoja alijinyonga baada yakukwaruzana na kiongozi wake alivyokuja kumtembelea , shida yenu mnaajiri urefu na lasaba ambao hawana maarifa, kuongoza watu wanatumia nguvu nyingi , kibaya zaidi wanalipwa pesa ndogo sana .Kampuni haina kiongozi anaeitwa LUQMAY na simjui ni nani. Kingine kampuni haimlazimishi mtu kufanya kazi unaweza uka resign ukaenda huko G3S na SGx
Alafu zitaje vzr hizo kampuni G4S na SGA maana ni best companies.Kampuni haina kiongozi anaeitwa LUQMAY na simjui ni nani. Kingine kampuni haimlazimishi mtu kufanya kazi unaweza uka resign ukaenda huko G3S na SGx
Mimi sio msemaji wa kampuni. Uzi wangu unahusu ajira kwa wale wanaohitaji na si kuanza kujadili mambo ya kampuniNi kweli kwenye kikao mliwawekea spika? Mkawa mnaongea nao bila kuwaona? Kwa kauli yako tu hapa ni dhahiri mna shida
Ni halafu sio alafuAlafu zitaje vzr hizo kampuni G4S na SGA maana ni best companies.
Weee sema kweliSGA Security yupo GGML ana huduma safi na huwezi kusikia mfanyakazi akilalamika na juzi wameongezewa mshahara kwahiyo GARDAWORLD nikampuni