Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kumbe mlienda??? Nyie ni kondoo....Tulifanya kwa upendo jumamosi iliyopita tukakalipiwa na kutishiwa kwamba hatujaja kwa wingi tunamtania mkurugenzi sasa hiyo kesho ni lazima tunaomba kupaziwa sauti watumishi wa manispaa ya moshi
Nilikuwa nakuheshimu sana kabla ya hii comment broo unajua ndani ya manispaa kufika hapo kuna baadhi ya watumishi ni kilometa hadi 17 kumi na saba sasa kwa mguu atatoka sangapi kwake, au unataka vibaka wamkabeFanyeni mazoezi ndugu watumishi.Mnachoma kaloriz kidogo na kubadilishana namba za simu kudumisha uhusiano mwema.Tena mfyeke na kupalilia kwa kiherehere hadi apate sonona.
NB;Uongozi siyo unyampala.Kuna masaa baada ya kazi/kustaafu mtaonana tu.Sisi ni pipo!
Uoga wa kukosa ajira unawafanya muonekane reasoning yenu ipo chini.Hapo ndo ujue kama una mtoto shule za ssrikali imekula kwako reasoning ya mwanao itakuwa chini zaidi yetu labda ajitambue yeye binafsi
Aggressors wanakujaribu mara ya kwanza ukishatii kwa uoga inakuwa mazoea unaonewa mpaka utakapopata ujasiri na kukataa uonevu na dharau.Kumbe mlienda??? Nyie ni kondoo....
Wewe anza kutokuniheshimu tu kwa sababu kila ninachokiandika unapaswa kukisoma kwa umakini sana kabla haujatoa hitimisho lako.Vamos amigos!😎Nilikuwa nakuheshimu sana kabla ya hii comment broo unajua ndani ya manispaa kufika hapo kuna baadhi ya watumishi ni kilometa hadi 17 kumi na saba sasa kwa mguu atatoka sangapi kwake, au unataka vibaka wamkabe
Huyu hata akiombwa naniliu inaonekana anaogopa kukataa...Aggressors wanakujaribu mara ya kwanza ukishatii kwa uoga inakuwa mazoea unaonewa mpaka utakapopata ujasiri na kukataa uonevu na dharau.
Nini?Hela?Aaaa atoe tu.No ploglam...ooops...no problem!😎Huyu hata akiombwa naniliu inaonekana anaogopa kukataa...
Vipi reasoning yetu ikiwa chini je ya mwanafunzi tunayemfunisha itakuwajeU
Uoga wa kukosa ajira unawafanya muonekane reasoning yenu ipo chini.
Mnaweza kugoma na kumshitaki mkurugenzi mkashinda kesi.
Teh teh teh teh teh teh dada aiseee(tulienda) walienda ila kulisemea kundi la watu unajua ni nguu sanaaaaa nisamehe nakuheshimu dadaangu nilikulaga mkeka wako uls wa odd mia na kidogooKumbe mlienda??? Nyie ni kondoo....
Wabaya Wana kushika tuckle makusudi usipokuwa mkali ndiyo imeisha hiyo njemba unakuwa mrembo.Huyu hata akiombwa naniliu inaonekana anaogopa kukataa...
Itakuwa majanga zaidi.Vipi reasoning yetu ikiwa chini je ya mwanafunzi tunayemfunisha itakuwaje
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa🤔🤔🤔🤔Wewe anza kutokuniheshimu tu kwa sababu kila ninachokiandika unapaswa kukisoma kwa umakini sana kabla haujatoa hitimisho lako.Vamos amigos!😎
Nina njaa sana na ndiyo maana huwa naandika ironically. Uwe unatumia muda kidogo kunisoma kwa ufasaha usikwame.Aliyeshiba hamjui mwenye njaa🤔🤔🤔🤔
Una akili sana brazaMkurugenzi anakusanya mapato atumie kuweka vibarua wa kufanya hiyo kazi.
La sivyo atoe amri wakazi wote wa Moshi wakafanye huo usafi.
Haki yenu ya mapumziko iko wapi? Mkataba wenu wa ajira na majukumu yenu kazi hiyo ipo?
Nisamehee kiongozi nimesoma comment yako nimeelewa zaidi kuelewa, umetumia irony kuna andiko nimeandika kuhusu wamama wauza nyanya kulazimishwa kuuzia nyanya maghorofani na wauza pombe za kienyeji kulazimishwa kupima afya kwa elfu kumi huku hawapewi risiti katika moja ya halmashauri hapa njini je hayo mapato yanaenda wapi?Fanyeni mazoezi ndugu watumishi.Mnachoma kaloriz kidogo na kubadilishana namba za simu kudumisha uhusiano mwema.Tena mfyeke na kupalilia kwa kiherehere hadi apate sonona.
NB;Uongozi siyo unyampala.Kuna masaa baada ya kazi/kustaafu mtaonana tu.Sisi ni pipo!
Sikujibu dada una mchango mkubwa sana hapa JF kwenye maisha yangu.Huyu hata akiombwa naniliu inaonekana anaogopa kukataa...
Naomba mtaji, nkupe mkeka mwingine.....Teh teh teh teh teh teh dada aiseee(tulienda) walienda ila kulisemea kundi la watu unajua ni nguu sanaaaaa nisamehe nakuheshimu dadaangu nilikulaga mkeka wako uls wa odd mia na kidogoo
Hivi viongozi kama hawa hizi akili wanazitoa wapi?Kichwa hapo juu cha husika, huyu Mkurugenzi tangu Jumamosi iliyopita aliwaamuru watumishi hasa walimu kuchukua mafyekeo na majembe kwa amri na vitisho kwenda kusafisha makaburi siku ambayo si ya kazi.
Leo tena Ijumaa ametoa vitisho kupitia kwa Walimu Wakuu kuwa asijekwenda kusafisha makaburi kesho tarehe moja asubuhi na mapema akiwa na jembe au fyekeo asimlaumu mtu kwa kitakacho mkuta. Sasa sisi kama watumishi tunahoji je hii ni haki? Manyanyaso haya yataisha lini kwetu?
Je, tusipoenda na ukizingatia ni siku ambayo si ya kazi hatua zitakazochukuliwa dhidi yetu si ni maonezi?