KERO Mkurugenzi Manispaa ya Moshi awalazimisha watumishi kufyeka na kusafisha makaburi ya Karanga siku za mapumziko

KERO Mkurugenzi Manispaa ya Moshi awalazimisha watumishi kufyeka na kusafisha makaburi ya Karanga siku za mapumziko

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Shule niliyosoma A level ipo kando ya barabara kuu ya TANROADS, sasa kuna siku mwalimu wa mazingira akavuta bangi akasema waliokawia kuripoti(wazee wa kuvuta) watapewa adhabu ya kufyeka majani. Katika kugawa maeneo akataka tufyete mpaka barabarani kabisa, nilipofikia zile nguzo za TANROADS tu nikaweka kwanja pembeni, wenzangu wakaanza kunisihi ntafukuzwa shule nifyeke tu nikawaambia kama shule ni ya TANROADS sawa, yule mwalimu alijenga bifu na mimi akanitafuta kila engo, mwisho wa siku akanipeleka kwa mkuu akichochea niwe suspended, mkuu aliposikiliza akamuona mwalimu wake boya.
So be positive make a change for your self, huwezi kufukuzwa kazi kwa ujinga kama huo.
 
Kichwa hapo juu cha husika, huyu Mkurugenzi tangu Jumamosi iliyopita aliwaamuru watumishi hasa walimu kuchukua mafyekeo na majembe kwa amri na vitisho kwenda kusafisha makaburi siku ambayo si ya kazi.

Leo tena Ijumaa ametoa vitisho kupitia kwa Walimu Wakuu kuwa asijekwenda kusafisha makaburi kesho tarehe moja asubuhi na mapema akiwa na jembe au fyekeo asimlaumu mtu kwa kitakacho mkuta. Sasa sisi kama watumishi tunahoji je hii ni haki? Manyanyaso haya yataisha lini kwetu?

Je, tusipoenda na ukizingatia ni siku ambayo si ya kazi hatua zitakazochukuliwa dhidi yetu si ni maonezi?

Msipokataa unyonge mtaendelea kunyanyaswa na wanaokaa kwenye viyoyozi!

Haki haitolewi, inadaiwa. Usipokukuruka utapuuzika!
 
Kichwa hapo juu cha husika, huyu Mkurugenzi tangu Jumamosi iliyopita aliwaamuru watumishi hasa walimu kuchukua mafyekeo na majembe kwa amri na vitisho kwenda kusafisha makaburi siku ambayo si ya kazi.

Leo tena Ijumaa ametoa vitisho kupitia kwa Walimu Wakuu kuwa asijekwenda kusafisha makaburi kesho tarehe moja asubuhi na mapema akiwa na jembe au fyekeo asimlaumu mtu kwa kitakacho mkuta. Sasa sisi kama watumishi tunahoji je hii ni haki? Manyanyaso haya yataisha lini kwetu?

Je, tusipoenda na ukizingatia ni siku ambayo si ya kazi hatua zitakazochukuliwa dhidi yetu si ni maonezi?

Mkurugenzi ameota mapembe
 
Huko Moshi sijui mmebakia kizazi cha aina gani?

Moshi ya zamani watu tulipenda sana kufanya usafi hata bila kubandikiwa matangazo
 
Kichwa hapo juu cha husika, huyu Mkurugenzi tangu Jumamosi iliyopita aliwaamuru watumishi hasa walimu kuchukua mafyekeo na majembe kwa amri na vitisho kwenda kusafisha makaburi siku ambayo si ya kazi.

Leo tena Ijumaa ametoa vitisho kupitia kwa Walimu Wakuu kuwa asijekwenda kusafisha makaburi kesho tarehe moja asubuhi na mapema akiwa na jembe au fyekeo asimlaumu mtu kwa kitakacho mkuta. Sasa sisi kama watumishi tunahoji je hii ni haki? Manyanyaso haya yataisha lini kwetu?

Je, tusipoenda na ukizingatia ni siku ambayo si ya kazi hatua zitakazochukuliwa dhidi yetu si ni maonezi?

Ndio maana kwa sasa kazi ya ualimu inadharaulika sana tofauti na kipindi cha nyuma!
 
Kichwa hapo juu cha husika, huyu Mkurugenzi tangu Jumamosi iliyopita aliwaamuru watumishi hasa walimu kuchukua mafyekeo na majembe kwa amri na vitisho kwenda kusafisha makaburi siku ambayo si ya kazi.

Leo tena Ijumaa ametoa vitisho kupitia kwa Walimu Wakuu kuwa asijekwenda kusafisha makaburi kesho tarehe moja asubuhi na mapema akiwa na jembe au fyekeo asimlaumu mtu kwa kitakacho mkuta. Sasa sisi kama watumishi tunahoji je hii ni haki? Manyanyaso haya yataisha lini kwetu?

Je, tusipoenda na ukizingatia ni siku ambayo si ya kazi hatua zitakazochukuliwa dhidi yetu si ni maonezi?

Mkataba wao wa ajira unaruhusu kufanya hayo.

Tz kuna mazuzu
 
Nisamehee kiongozi nimesoma comment yako nimeelewa zaidi kuelewa, umetumia irony kuna andiko nimeandika kuhusu wamama wauza nyanya kulazimishwa kuuzia nyanya maghorofani na wauza pombe za kienyeji kulazimishwa kupima afya kwa elfu kumi huku hawapewi risiti katika moja ya halmashauri hapa njini je hayo mapato yanaenda wapi?
Easy,easy boss ya mboka!😎🙏
 
Kichwa hapo juu cha husika, huyu Mkurugenzi tangu Jumamosi iliyopita aliwaamuru watumishi hasa walimu kuchukua mafyekeo na majembe kwa amri na vitisho kwenda kusafisha makaburi siku ambayo si ya kazi.

Leo tena Ijumaa ametoa vitisho kupitia kwa Walimu Wakuu kuwa asijekwenda kusafisha makaburi kesho tarehe moja asubuhi na mapema akiwa na jembe au fyekeo asimlaumu mtu kwa kitakacho mkuta. Sasa sisi kama watumishi tunahoji je hii ni haki? Manyanyaso haya yataisha lini kwetu?

Je, tusipoenda na ukizingatia ni siku ambayo si ya kazi hatua zitakazochukuliwa dhidi yetu si ni maonezi?

Mkurugenzi wa Zama gani huyu, ana elimu gani? Ndugu wa waliozikwa hapo hawajulikani ili waende kuyafanyia usafi?
 
Mkuu usiende toa taarifa una uguliwa
Tumesafisha jumamosi iliyopita akasema tumefika wachache anataka turudie jumamosi ya kesho pia mkuu. Je? Hata kama ni jumamosi ya usafi ni utaratibu watumishi kwenda kusafisha makaburi bila kujali nauli tunapata wapi? Yaani ni amri saa 12 ufike bila kujali umbali unaotokea hii ni haki kweli?
 
Mkuu usiende toa taarifa una uguliwa
Tumesafisha jumamosi iliyopita akasema tumefika wachache anataka turudie jumamosi ya kesho pia mkuu. Je? Hata kama ni jumamosi ya usafi ni utaratibu watumishi kwenda kusafisha makaburi bila kujali nauli tunapata wapi? Yaani ni amri saa 12 ufike bila kujali umbali unaotokea hii ni haki kweli?
 
Back
Top Bottom