TANZIA Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda afariki Dunia nchini Afrika Kusini

TANZIA Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda afariki Dunia nchini Afrika Kusini

Mbona mpaka leo kila baa watu tungi likishawabamba wote wanai kuwa ni watu wa System.

Marehemu alifanikiwa kweli?

Hii tabia ' ilikoma ' rasmi mwaka 2015 Ndugu. Tena kwa sasa hivi hakuna Kitu ambacho ama Wahusika wa kweli au hata wasiowahusika ' wanaogopa ' kama hicho cha ama Kutamba kuwa Watu wa ' System ' na ' Kuwatishia ' Watu. Halafu kwa ' Professional Secret Agent ' unaanzaje Kujitaja au Kujitambulisha au kutaka Watu wakujue wakati unajua fika kuwa ' Principally ' Kitendo tu cha Wewe Kujulikana si tu kwamba Kinakuharibia Kiutendaji lakini pia ' Kinakuhatarishia ' hadi Maisha yako kwakuwa inajulikana kuwa hata Watendaji wa hizo Idara nao pia huwa wanakuwa ' Wanawindwa ' na Makundi mabaya ( Mafia ) na hata wale ambao wanakuwa na Chuki au Visasi na Serikali zilizopo Madarakani ambazo nyingi huwa kwa Kiasi fulani zinasaidiwa Kuingia / Kuwepo Madarakani kwa ' Uratibu ' wao?
 
maendeleo ya kujitangaza kuwa ni shoga toka kanda maalum au?

Naona sasa umeamua rasmi Kuitaja Kazi yako ya ' Ushoga ' inayokuweka hapa Mjini kupitia Mabishano yako na Mimi ili Watu waweze Kukujua kwa haraka na wakutafute upesi ili ' Biashara ' ifanyike na Maisha yako yaende vinginevyo hapa Mjini patakuwa ni ' pagumu ' Kwako. Ni Matumaini yangu baada ya Kujitangaza Kwako hivi japo umezunguka mno Wateja wataanza Kumiminika Kwako kwa Kukutafuta. Naomba usisahau tu 10% yangu kwani tayari nimeshakutangazia Biashara.
 
alafu eti mijitu inakuja hapa inasema RIP, pumbav, muacheni Mungu aweke mavuno yake panapostahili, na kama damu ya ulimboka ipo kwake basi italia mpaka kizazi chake cha nne
Acha uongo wewe kipindi cha Ulimboka alikuwa keshastaafu
 
Pamoja na kwamba alikuwa akifundisha hiyo Shule na Mwanae wa ' Kudekadeka ' Jimmy alikuwepo lakini alikuwa akimkuta amefanya Kosa anampa ' Bakora ' ambazo hata Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Chalamila za hivi majuzi zilikuwa ni za cha Mtoto tu. Na usiombe Siku awepo zamu na Mwalimu Mmoja wa Kiume Mkurya aliyekuwa ametokea JKT Nyagabona halafu uwe na Makosa hicho Kipigo chao cha ' Kolabo ' lazima tu ukitoka hapo utaenda Kuhadithia Kwenu. Walimu walikuwepo zamani siyo hawa wa Miaka hii waliolegea sana kiasi kwamba hata Wanafunzi wao tu huwa wanawatisha na wanawaogopa vile vile.
Eagle wa kitambo sana, Nyagabona yupo bana, alikua anapiga stick sana mkuu wa mkoa haoni ndani. Japo mie nimemkuta nyie mshamaliza miaka kadhaa iliyopita, mwalimu masilingi na headmaster Sato ndio alietupokea.
 
Mwambie ' Brazameni ' Jimmy asisahau Kupitisha Kitabu cha Maombolezo cha Msiba wa Baba yake kwa wana Darasa la Saba Wenzake wa ' Obey ' wa mwaka 1992 chini ya Mwalimu Mkuu Marehemu Mama Ng'ambi. Na kwa Kuanzia tu aanze upesi sana na Dada Brenda Msangi Boss Mkuu pale CCBRT Msasani kisha amuwahi na aliyekuwa Jirani yake wakati wakiishi Jirani na Maogesheo ya Mbwa pale ' roundabout ' mita chache tu kutoka Shule ya Msingi ya Obey Dada Mwasu Lubuva ( Binti wa Mzee Jaji Mstaafu Damian Lubuva ) Mimi mchango wangu pekee ambao nitautoa kwakuwa ni ' apeche alolo ' ni wa kupokea tu hiyo Michango, Kuihesabu Kiukamilifu kisha anaihakiki halafu namkabidhi Tom.

Poleni sana Familia ya Mzee Colonel Apson Mwang'onda, Bwana ametoa na Bwana ametwaa pia. Tupo pamoja hasa katika Kipindi hiki Kigumu mno na cha Majonzi ambacho mnakipitia na kikubwa tu nawaomba muwe Wavumilivu na tumuombee Mzee ili basi Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake kama Binadamu wengine, ampokee na amlaze mahala pema peponi Amen / Amina.

Sijajua kwa sasa Msiba upo wapi ila mkitusadia kutupa Maelekezo tutashukuru ili na Sisi wengine tuweze Kujumuika nanyi.
Msiba upo mbezi beach ya chini kama unaelekea kwa Zena.
 
Eagle wa kitambo sana, Nyagabona yupo bana, alikua anapiga stick sana mkuu wa mkoa haoni ndani. Japo mie nimemkuta nyie mshamaliza miaka kadhaa iliyopita, mwalimu masilingi na headmaster Sato ndio alietupokea.

Inabidi tuwe na ' Alumnus ' yetu wana Oysterbay Primary School ili basi nasi tuweze Kuchangia chochote Kitu kwa Maendeleo ya hiyo Shule yetu pendwa kabisa. Ila kama kuna Shule ambayo nilipigwa sana Bakora kwa Utundu wangu nilipokuwa mdogo basi ni hiyo hata hivyo nawashukuru mno Walimu wangu ambao kwa bahati mbaya sana leo hii 75% yao ni Marehemu kwa Kuanzia Mwalimu wangu Kipenzi kabisa wa Darasa la Kwanza Marehemu Mwalimu Mama Nunduma R.I.P Kwake kwani bila Yeye sidhani kama leo hii Mimi An Eagle ningejua Kusoma na Kuandika. Mimi kwakuwa Vyuma kwa sasa ' vimenikazia ' sitochangia Pesa basi nina tumifugo twangu kadhaa hivyo naweza hata kutoa Mbuzi Wawili Jike na Dume wa Uongozi wa Shule ukawafuga hapo hapo kisha Wakishazaana basi waanze Ufugaji wa Mbuzi na baadae wawe wanawauza na Pesa zitakazopatikana ziweze Kuendeleza Shughuli za Shule.
 
Ngoja nika review kama wakati wa kusaini mikataba ya ACACIA na ujangili uliokuwa ukifanyika pale BOT kama alikuwa kwenye system halafu wote ulio wataja kwa sifa zote hizo basi Tanzania ingekuwa kama S.Africa,

Hata rais sijui kama atahudhuria kwenye mazishi maana anajua namna walivyo iharibu hii nchi

Acha ' Kupotosha ' Watu kama kweli Mheshimiwa Rais alikuwa hampendi Marehemu basi asingepoteza hata muda wake kwenda Kumtembelea Hospitalini alipokuwa hapa nchini na pia asingebariki safari yake ya kwenda kwa Matibabu zaidi huko kwa Madiba ( Afrika Kusini ) lakini pia hata Serikali yake isingechangia baadhi ya Pesa za Matibabu yake huko kwa Kushirikiana na Familia yake.

Kama ikitokea Mheshimiwa Rais kutohudhuria Mazishi yake basi itakuwa tu ni kwasababu ya Ratiba zake kuwa ngumu ila nina uhakika tena wa 100% kwamba kama Yeye hatokuwepo basi atawakilishwa na Makamu wa Rais au hata ' Premier ' Majaliwa bila kusahau na Viongozi wengine Waandamizi kama Marais Wastaafu, Mawaziri Wakuu, Wakuu wa Majeshi, Mawaziri na Viongozi wengine wengi tu. Kwa Cheo chake kama Spy Master / Spy Chief ni lazima azikwe kwa Heshima zote na usisahau kuwa huyo pia aliifanyia Makubwa ya Kiusalama nchi hii hapo Mpuuzi Mmoja kama Wewe unaweza usijue.

Haya endelea Kubwatuka, Kufitinisha na Kuwadanganya Watu hapa. Rais JPM hana hiyo Roho Mbaya uliyonayo Wewe.
 
Msiba upo mbezi beach ya chini kama unaelekea kwa Zena.

Ahsante kwa taarifa Ndugu najiandaa Kuja hapo japo najua 95% ya Waombolezaji watakaokuwepo hapo ni Jamaa zetu wale tupu au? Nawaogopa sana wale Jamaa sijui kwanini. Geti la Kuingilia ni Moja tu au kuna lingine lililo wazi kwani huwa sipendi Kupita sehemu yenye Watu wengi Ndugu. Hawana Geti la nyuma? Hebu niulizie hapo kwa Classmate wangu Jimmy kisha akikujibu uniambie sasa hivi kwani ikifika Saa 6 Kamili na ' Log Out ' hapa Jamvini tafadhali.
 
Ahsante kwa taarifa Ndugu najiandaa Kuja hapo japo najua 95% ya Waombolezaji watakaokuwepo hapo ni Jamaa zetu wale tupu au? Nawaogopa sana wale Jamaa sijui kwanini. Geti la Kuingilia ni Moja tu au kuna lingine lililo wazi kwani huwa sipendi Kupita sehemu yenye Watu wengi Ndugu. Hawana Geti la nyuma? Hebu niulizie hapo kwa Classmate wangu Jimmy kisha akikujibu uniambie sasa hivi kwani ikifika Saa 6 Kamili na ' Log Out ' hapa Jamvini tafadhali.
Nenda ukatuwakilishe utupo vipya vya moto vilivyojili hapo kwake, lakini uwe makini usiropoke wala kujiongelea chochote au kupiga story ambazo zitawafanya waombolezaji kutupia jicho kwako, utulie uwe msikivu usome upepo kwa weledi mkubwa
 
Mhhhh RIP baba mkwe.

Kinachonishangaza na kunifanya mipigwe na butwaaaaa, wazee(wanawake kwa wanaume) waishio vijijini, ambao hushindia ugali wa mhogo, kisamvu, bia zao ni Buzaa, Chibuku, Dengelua, Mbege, wanaishi miaka 97, 103, 110 LAKINI wazee wanaokula raha za nchi huaga dunia wakiwa bado wabichi(naamini umenielewa)!!!!ni kwanini? Tunamsahau Muumba au vipi? Tunanyanyasa raia wa kawaida au vipi? Tunakula mno kwa ulafi au vipi(je, mimi nitakuwa kwenye kundi gani?) Tutafakari kwa sisi wote tuliobado hai!! Almighty God have mercy on Mankind, grant us wisdom.
 
Kinachonishangaza na kunifanya mipigwe na butwaaaaa, wazee(wanawake kwa wanaume) waishio vijijini, ambao hushindia ugali wa mhogo, kisamvu, bia zao ni Buzaa, Chibuku, Dengelua, Mbege, wanaishi miaka 97, 103, 110 LAKINI wazee wanaokula raha za nchi huaga dunia wakiwa bado wabichi(naamini umenielewa)!!!!ni kwanini? Tunamsahau Muumba au vipi? Tunanyanyasa raia wa kawaida au vipi? Tunakula mno kwa ulafi au vipi(je, mimi nitakuwa kwenye kundi gani?) Tutafakari kwa sisi wote tuliobado hai!! Almighty God have mercy on Mankind, grant us wisdom.
Damu za watu, huku kwetu kijijini hatuna deni la damu ya mtu, wewe unafikiri damu ya ben sa nane, lissu, azory, alphonce maneno zitalipwa nan nani? Mungu hajui cha sistim ilikutuma, damu ya mtu itakulilia wewe mpaka kizazi chako cha nne
 
Back
Top Bottom