Kwani Alikua na urafiki na membe?
Sio kweli, issue ya Ulimboka mkuu wa TISS alikuwa Rashid Othmanalafu eti mijitu inakuja hapa inasema RIP, pumbav, muacheni Mungu aweke mavuno yake panapostahili, na kama damu ya ulimboka ipo kwake basi italia mpaka kizazi chake cha nne
acha kumpangia MUNGU pa kuweka zao lake
R.i.p
Labda wenzetu wanatengeneza historia mpya; Apson anahusika na mambo fulani... kwa tunaokumbukaSio kweli, issue ya Ulimboka mkuu wa TISS alikuwa Rashid Othman
Hata Othaman anajua mambo mengi. Kwa nafasi ile lazima ujue mambo mengi.[QUOTE = "Baliweko, chapisho: 33061239, mwanachama: 55787"]
RIP Apson Mwangonda
[/ QUOTE]
Alikuwa anajua mambo mengi sana huyo.
Labda wenzetu wanatengeneza historia mpya; Apson anahusika na mambo fulani... kwa tunaokumbuka
Huyu ni Rashid Othman
Heri wafu wafao katika bwana maana matendo yao yafuatana nao. Na wewe matendo yako yakufuate.Mtu asiyejulikana amepotea, alazwe anakostahili
Si ndiyo alikuwa anamsaidia mgombea urais wa Saccos 2015 Mh. Lowassa au mmesahau??!!Huwa wanajisahau sana, badala ya kulinda usalama wa taifa wao wanalinda ushindi na wizi wa kura za upinzani