comrade wetu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 964
- 605
Daaah daaah Ad maiorem dei gloriam semper patas patas är den katolska Jesuitordens .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moderator imefika wakati sasa huo uzi hapo chini kutoka kwa Mzee Mwanakijiji unaozungumzia uchafu wa Mwang'onda Ufunguliwe ili ajadiliwe kwa haki kutokana na matendo yake ili Mungu achukue hatua zinazostahili dhidi yake .Mkurugenzi Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Apson Mwang’onda (75), amefariki dunia leo Oktoba 7, nchini Afrika Kusini alikokuwa anatibiwa, familia yake imethibitisha.
View attachment 1226052Pia soma
Rais Magufuli akimjulia hali Apson Mwang'onda hospitalini enzi za uhai wake
Apson: The Beginning of TISS's Failure
Tunapozungumzia idara ya Usalama wa Taifa na jinsi imeiangusha serikali yetu na kuweka usalama wa taifa letu hatarini nafasi ya Bw. Apson Mwang'onda haiwezi kupuuzwa. Baadhi ya matukio yaliyotokea na kuruhusu ufisadi nchini yalitokea wakati wa "ulinzi" wake na hatujui ni kwa kiasi gani...www.jamiiforums.com
Moderator imefika wakati sasa huo uzi hapo chini kutoka kwa Mzee Mwanakijiji unaozungumzia uchafu wa Mwang'onda Ufunguliwe ili ajadiliwe kwa haki kutokana na matendo yake ili Mungu achukue hatua zinazostahili dhidi yake .
Natanguliza shukrani
Zikiongozwa na bavicha na chadomoDuniani tunapita tu!!
Tutarajie siasa msibani.
Mmeshaanza siasaHuwa wanajisahau sana, badala ya kulinda usalama wa taifa wao wanalinda ushindi na wizi wa kura za upinzani
For the greater glory of GodDaaah daaah Ad maiorem dei gloriam semper patas patas är den katolska Jesuitordens .
Hapo sawa. Je ni nani alimuua Imran Kombe mwaka 1996?Hakuwa yeye bana. Alikuwa Othman
For the greater glory of God
Kwa nn utumie hii lugha sasa
Ndiyo alikuwa mkurugenzi enzi zile Dr. Ulimboka alipotekwa na kuokotwa msitu wa Mabwepande akiwa yuko hoi bin taaban?
Tunamtakia kila la heri huko aendako.
Moderator imefika wakati sasa huo uzi hapo chini kutoka kwa Mzee Mwanakijiji unaozungumzia uchafu wa Mwang'onda Ufunguliwe ili ajadiliwe kwa haki kutokana na matendo yake ili Mungu achukue hatua zinazostahili dhidi yake .
Natanguliza shukrani
Asante kwa ufafanuzi.Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda amefariki dunia leo Oktoba 7, 2019 nchini Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu
Kwa miaka kadhaa Idar ya Usalama wa Taifa iliongozwa na vigogo kadhaa waliobobea katika masuala la Ulinzi na Usalama wakiwamo; Emir Mzena, Lawrance Gama, Hans Kitine ambapo alipoondoka nafasi hiyo ilikamatwa na Dk. Augustine Mahiga.
Mbali na hao nafasi hiyo ilishikiliwa pia na Amrani Kombe, Apson Mwang’onda, Rashid Othman, Dkt Kipilimba na Bwana Diwani Athumani
Dah nakumbuka enzi hizo kitaa kwenye daraja la Apson kabla ya kwa Zenna Kawawa, kuna jamaa alimuibia mbwa wake
Yule jamaa akipita nje ya ukuta wako kama mbwa wako ndani watavunja banda wamfuate sijui alikuwa anatumia nini
R. I. P Mzee Apson
Bwana alitoa, Bwana ametwaaMkurugenzi Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Apson Mwang’onda (75), amefariki dunia leo Oktoba 7, nchini Afrika Kusini alikokuwa anatibiwa, familia yake imethibitisha.
View attachment 1226052Pia soma
Rais Magufuli akimjulia hali Apson Mwang'onda hospitalini enzi za uhai wake
Apson: The Beginning of TISS's Failure
Tunapozungumzia idara ya Usalama wa Taifa na jinsi imeiangusha serikali yetu na kuweka usalama wa taifa letu hatarini nafasi ya Bw. Apson Mwang'onda haiwezi kupuuzwa. Baadhi ya matukio yaliyotokea na kuruhusu ufisadi nchini yalitokea wakati wa "ulinzi" wake na hatujui ni kwa kiasi gani...www.jamiiforums.com