Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAPANA.Ndiyo alikuwa mkurugenzi enzi zile Dr. Ulimboka alipotekwa na kuokotwa msitu wa Mabwepande akiwa yuko hoi bin taaban?
Tunamtakia kila la heri huko aendako.
Una maanisha a Rest in peace?R.I.P
That is recorded and will never be wiped away. His legacy in the top officeMambo gani unakumbuka; uchotaji wa fedha za EPA benki kuu?
Tunasikitika kwa kifo chake lakini,alishindwa kuibadili taasisi yake ili ilete mabadiliko stahiki ya kiasiasa na kiuchumi, huenda asingetangulia mapema,kama tungekuwa na hosipitali bora kuliko za Kule aliko kuwa anatibiwa,Huwa wanajisahau sana, badala ya kulinda usalama wa taifa wao wanalinda ushindi na wizi wa kura za upinzani
Ndiyo alikuwa mkurugenzi enzi zile Dr. Ulimboka alipotekwa na kuokotwa msitu wa Mabwepande akiwa yuko hoi bin taaban?
Tunamtakia kila la heri huko aendako.
HUYU SIO MWANGONDA.
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania, Apson Mwang’onda amefariki dunia leo Oktoba 07, 2019 nchini Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu.View attachment 1226127
Hawakuwa na msaada ndo maana hawakuweza kuiona kaananiR.I.P Mzee wetu Mwang'onda
Wewe ni mmoja kati ya watu wa mwisho mwisho mliokuwa mmepikwa mkaiva haswa.
Nisalimie sana Emilio Mzena na Jenerali Imrani Kombe!
Daima utakumbukwa.