TANZIA Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda afariki Dunia nchini Afrika Kusini

TANZIA Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda afariki Dunia nchini Afrika Kusini

Wewe poyoyo huwezi kujua jinsi spymaster anavyoweza kuinfluence matokea katika hatua mbalimbali za uchaguzi!! Marehemu alikuwa karibu sana na wana mtandao mwaka 2005 na ndio maana waliweza kukwapua fedha za EPA zilizofanikisha kuchaguliwa kwa mkwere!!!

Je, umeshamaliza Kutudanganya au bado labda unataka kuendelea Kutudanganya Ndugu?
 
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda amefariki dunia leo Oktoba 7, 2019 nchini Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu


Kwa miaka kadhaa Idar ya Usalama wa Taifa iliongozwa na vigogo kadhaa waliobobea katika masuala la Ulinzi na Usalama wakiwamo; Emir Mzena, Lawrance Gama, Hans Kitine ambapo alipoondoka nafasi hiyo ilikamatwa na Dk. Augustine Mahiga.

Mbali na hao nafasi hiyo ilishikiliwa pia na Amrani Kombe, Apson Mwang’onda, Rashid Othman, Dkt Kipilimba na Bwana Diwani Athumani

They have done nothing new for the benefits of an economic development in our country.
 
They have done nothing new for the benefits of an economic development in our country.

Can you develop Economically without strengthening first your Security, so that you can be assured of peace that attracts so many Investors in your Country? Please have great respect to our beloved Tanzanian Spymasters, because without their efforts and commitment I don't think that you will be free as you're at the moment while most of your neighbors are fighting, killing and terrorize themselves.
 
Can you develop Economically without strengthening first your Security, so that you can be assured of peace that attracts so many Investors in your Country? Please have great respect to our beloved Tanzanian Spymasters, because without their efforts and commitment I don't think that you will be free as you're at the moment while most of your neighbors are fighting, killing and terrorize themselves.
Je Usalama gani unaozungumzia wewe?
Investors gani unsozungumzia wewe? Foreign investors??
Daima maendeleo ya kweli huwa ktk nchi huwa yanaletwa NA wananchi wazawa, siyo wawrkezaji WA kigeni ambao wewe unawafikiria. Mjenga nchi Ni mwananchi NA mvunja nchi Ni mwananchi mwenyewe.
Maendeleo ktk nchi zote zilizoendelea nimeona yametokana NA wananchi wake wazawa, Lakini siyo wawekezaji WA kigeni.Hili nimethibitiaha Mimi mwenyewe KWA macho yangu ktk nchi kadhaa nilizowahi kuzuru hapa duniani.

Kwangu Mimi, Spymaster WA ukweli Ni yuke ambaye amefanya juhudi kubwa zaidi za Ujasusi KWA Maslahi mapana ya Kiuchumi ya watu wa nchi yake NA nchi take KWA ujumla.Huyo Mimi ndio naweza nikamwita Spymaster.

Nikuulize swali, hawa wote waliotajwa kuwa Ni ex-spymasters wameacha "legacy" gani ya maendeleo ya Kiuchumi ktk nchi ya Tz ??????
 
Je Usalama gani unaozungumzia wewe?
Investors gani unsozungumzia wewe? Foreign investors??
Daima maendeleo ya kweli huwa ktk nchi huwa yanaletwa NA wananchi wazawa, siyo wawrkezaji WA kigeni ambao wewe unawafikiria. Mjenga nchi Ni mwananchi NA mvunja nchi Ni mwananchi mwenyewe.
Maendeleo ktk nchi zote zilizoendelea nimeona yametokana NA wananchi wake wazawa, Lakini siyo wawekezaji WA kigeni.Hili nimethibitiaha Mimi mwenyewe KWA macho yangu ktk nchi kadhaa nilizowahi kuzuru hapa duniani.

Kwangu Mimi, Spymaster WA ukweli Ni yuke ambaye amefanya juhudi kubwa zaidi za Ujasusi KWA Maslahi mapana ya Kiuchumi ya watu wa nchi yake NA nchi take KWA ujumla.Huyo Mimi ndio naweza nikamwita Spymaster.

Nikuulize swali, hawa wote waliotajwa kuwa Ni ex-spymasters wameacha "legacy" gani ya maendeleo ya Kiuchumi ktk nchi ya Tz ??????

Kumbe na Kiswahili unakijua vyema tu. Sasa kwanini ulikuwa ' umeshoboka ' kuniandikia kwa ' Kiingereza ' ile ' post ' yako ya awali? Miswahili bhana!
 
Hahahaha, Oysterbay Primary school hii nini
Majirani wa nyumbani Obay hawa, watoto waliosoma Obay eighties na nineties wamefundishwa na kina Mrs. Mwang'onda na Mrs. Mihayo.

Enzi hizo Mzee Apson akiishi pale kona ya Hill Rd. na Msasani Rd. karibu na uwanja wa kuoshea mbwa pale ilipokuwa Norconsult.

Maisha yamepita kama upepo, zimebaki habari zake sasa.
 
Mwambie ' Brazameni ' Jimmy asisahau Kupitisha Kitabu cha Maombolezo cha Msiba wa Baba yake kwa wana Darasa la Saba Wenzake wa ' Obey ' wa mwaka 1992 chini ya Mwalimu Mkuu Marehemu Mama Ng'ambi. Na kwa Kuanzia tu aanze upesi sana na Dada Brenda Msangi Boss Mkuu pale CCBRT Msasani kisha amuwahi na aliyekuwa Jirani yake wakati wakiishi Jirani na Maogesheo ya Mbwa pale ' roundabout ' mita chache tu kutoka Shule ya Msingi ya Obey Dada Mwasu Lubuva ( Binti wa Mzee Jaji Mstaafu Damian Lubuva ) Mimi mchango wangu pekee ambao nitautoa kwakuwa ni ' apeche alolo ' ni wa kupokea tu hiyo Michango, Kuihesabu Kiukamilifu kisha anaihakiki halafu namkabidhi Tom.

Poleni sana Familia ya Mzee Colonel Apson Mwang'onda, Bwana ametoa na Bwana ametwaa pia. Tupo pamoja hasa katika Kipindi hiki Kigumu mno na cha Majonzi ambacho mnakipitia na kikubwa tu nawaomba muwe Wavumilivu na tumuombee Mzee ili basi Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake kama Binadamu wengine, ampokee na amlaze mahala pema peponi Amen / Amina.

Sijajua kwa sasa Msiba upo wapi ila mkitusadia kutupa Maelekezo tutashukuru ili na Sisi wengine tuweze Kujumuika nanyi.
Jamaa wewe tunaweza tukawa tunafahamiana kabisa. Kwa uchambuzi huu
 
Marehemu alikuwa CHAIN smoker wa miongo mingi!!! Highly likely kuwa ndio zilizo muathili!!!

Mkwere ni lazima alie sana kwani huyu ndiye aliyemuwuweka madarakani!!
Ni stress za kazi ndiyo zilimfanya kuvuta sigara hivyo
 
Back
Top Bottom