Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Marehemu amekuachia kumbukumbu ya damu yake uishi naeMhhhh RIP baba mkwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marehemu amekuachia kumbukumbu ya damu yake uishi naeMhhhh RIP baba mkwe.
Ahsante kwa niabaPole Sana kwa Familia na Jumuiya ya Ujasusi
Pia hata sisi Jirani zake pale VwawaRambirambi kwa mwalimu Mrs. Apson Mwang'onda, Thomas Mwang'onda na familia.
Na wew Ni mhusika siyo bure otherwise mungu ampokee na amuweke mahala pema Mzee wetuNgwanakilala,
Habari nzito hii inastahili zaidi ya mstari mmoja wa habari. Rip Mzee Apson.
Ongeza taarifa kwa kutumia zile W5 + 1 H. Yaani lini, wapi msiba umetokea, mapito marehemu ktk utumishi wa umma, Jambo kubwa alilofanya kwa taifa n.k (Who, Where, When, What, Why and How)
Kweli wew unamfahamu naamini hiyo nayo imechangia SanaMarehemu alikuwa CHAIN smoker wa miongo mingi!!! Highly likely kuwa ndio zilizo muathili!!!
Mkwere ni lazima alie sana kwani huyu ndiye aliyemuwuweka madarakani!!
Poleni sana.Pia hata sisi Jirani zake pale Vwawa
Hahahaha, nilikua nashinda sana pale kwake ktk basketball court, jioni tunaingia studio contena au kusikiliza gitaa la MzeeNilirudi likizo, mimi ndiye nikaonekana mgeni viwanja vyangu.
Mzee Kimario alikuwa na basketball court, halafu ana bendi watu waliozibukia muziki wanapiga muziki.
Mzee poa sana.
The guy was an institution.
Huyu Ni gentamycine kwa I'd mpya baada ya ile nyingine kula banNaona sasa umeamua rasmi Kuitaja Kazi yako ya ' Ushoga ' inayokuweka hapa Mjini kupitia Mabishano yako na Mimi ili Watu waweze Kukujua kwa haraka na wakutafute upesi ili ' Biashara ' ifanyike na Maisha yako yaende vinginevyo hapa Mjini patakuwa ni ' pagumu ' Kwako. Ni Matumaini yangu baada ya Kujitangaza Kwako hivi japo umezunguka mno Wateja wataanza Kumiminika Kwako kwa Kukutafuta. Naomba usisahau tu 10% yangu kwani tayari nimeshakutangazia Biashara.
Huyu Ni gentamycine kwa I'd mpya baada ya ile nyingine kula ban
Yes nafahamu mkuu. Ila alikuwa na businesses zake pia.Marehemu Baba yake alimuingiza huko huko alikokuwa akihudumu kama DG, hivyo huenda Majukumu yamemzidia Ndugu.
Ata mimi siku nimekutanae alikua ana smoke sana mpaka sikujua kama ndo yeyeKweli wew unamfahamu naamini hiyo nayo imechangia Sana
Joshua Opanga..chief of protocal enzi ya RIP Nyerere.Pale Bongoyo, cross streets ni Mkwawa na Winding Ave. Viwanja vya wazee vile.
Kwa Mzee Lubuva mbele kidogo.
Mzee Kimario mpaka amefariki alikuwa anaandika kitabu cha "War Stories" nilikuwa namsihi Mfaume kitabu kichapishwe watu wapate habari.
Umenikumbusha mbali sana kwenye kiduka kile.
Kuna siku nimekaa na kichaa wangu Alpha Opanga pale, ananiambia ana bonge la project la kuweka vyoo vya kulipia Dar. Nikasema Alpha acha stories zako, hakuna kitu kama hicho. Baadaye kidogo, nakuja kukuta Dar kuna vyoo vile vile alivyovisema Alpha!
The sad thing was Alpha had nothing to do with that.
Jamaa atakua anakulaga mavi mabichi akishushia na pepsi baridii,ana shobo za kikuda.jifunze ku balance shobo utaolewa Dar pagumu
Alpha Opanga is issue of Amb. Joshua Opanga.Joshua Opanga..chief of protocal enzi ya RIP Nyerere.
Mzee mmoja mjaluo, mrefu. Alikuwa anakuja mtaani pale shaban robert kuwatembelea ndugu zake.Alpha Opanga is issue of Amb. Joshua Opanga.
Rest in peace 🙏🏾Mkurugenzi Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Apson Mwang’onda (75), amefariki dunia leo Oktoba 7, nchini Afrika Kusini alikokuwa anatibiwa, familia yake imethibitisha.
View attachment 1226052
Rais Magufuli akimjulia hali Apson Mwang'onda hospitalini enzi za uhai wake