Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Voda miyeyusho sana kwa stail yao ya ukisajiri laini tu unaanza kutumiwa na sms za kujiunga freemason sasa kwanini tusiiache
Kwamba mkurugenzi ameondoka na network?[emoji23][emoji23]
Hii ni mbovu kulikoAIRTEL Ni muda wao Sasa wa kuboresha zaid huduma zao ili watake over
Kumbe na hukoHawafai
Kuna jamaa nilimpa angalizo kwenye hizi hisaWalionunua Hisa za Voda wanaenda kuwa masikini wa kutupa, watakula hasara, pia Hisa zao haziuuziki
Yaan totally hawanogiKumbe na huko
Kampeni ya kuondoka mmoja mmoja ianzeYaan totally hawanogi
Naanza Mimi kutupa lineKampeni ya kuondoka mmoja mmoja ianze
Usisahau kunipa mpya utakayosajili bossNaanza Mimi kutupa line
Poa KamandaUsisahau kunipa mpya utakayosajili boss
Huu mtandao binafsi nimeshaacha kuutumiaMkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Sitholizwe Mdlalose amejiuzulu nafasi hiyo ambapo atatizimiza miezi nane tangu mtangulizi wake, Hisham Hendi nae ajiuzulu kwenye nafasi hiyo. Sio ishara njema kwa kampuni kubwa kama Vodacom ambayo watu wanaota kuiongoza.
Mwaka jana Vodacom ilisitisha mkataba wake na TFF kufadhili ligi kuu Tanzania bara kwa kigezo ya hali mbaya ya kiuchumi inayoikumba kampuni hiyo.
Mwaka 2019 tycoon wa biashara bongo, Rostam Aziz aliuza hisa zake zote Vodacom. Mwaka huu kanunua Tigo/Zantel.
Vodacom imekuwa ikipoteza kiwango cha soko(market share) kadri siku zinavyokwenda ambalo sasa limefika 29.4% kutoka 45% miaka kumi iliyopita.
Nini kinaikumba kampuni ya Vodacom pamoja na uzoefu wake kwenye sekta ya mawasiliano Tanzania anaangukia pua?
Mwenye hatamu saizi ni AirtelIna maana halotel akijipanga vizuri anashika hatamu sokoni
Hawajui hawa acha waangaike na mitandao myengine huko network za shida..😂Hapa tz bado mtandao ni mmoja nao ni Vodacom tanzania