KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Hawezi huyo kamongoMwenye hatamu saizi ni Airtel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi huyo kamongoMwenye hatamu saizi ni Airtel
Inakera kama nini hapo ni kununua ya mia tano ujiunge kifurushi alafu ile mia tatu wataikata tena yani wanakera sanaKweli Mimi nimeweka vocha ya elf moja naangalia Salio nakuta sh 800 mia mbili wamenikata
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni ya CCM hiyo.Rostam alijimilikisha hisa za chama vofacom mwendazake akamtight kwenye uhakiki na wamali za chama pamoja na channel ten ndio maana alijifanya anauza hisa zake kumbe anarudisha kwa wenyewe.Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Sitholizwe Mdlalose amejiuzulu nafasi hiyo ambapo atatizimiza miezi nane tangu mtangulizi wake, Hisham Hendi nae ajiuzulu kwenye nafasi hiyo. Sio ishara njema kwa kampuni kubwa kama Vodacom ambayo watu wanaota kuiongoza.
Mwaka jana Vodacom ilisitisha mkataba wake na TFF kufadhili ligi kuu Tanzania bara kwa kigezo ya hali mbaya ya kiuchumi inayoikumba kampuni hiyo.
Mwaka 2019 tycoon wa biashara bongo, Rostam Aziz aliuza hisa zake zote Vodacom. Mwaka huu kanunua Tigo/Zantel.
Vodacom imekuwa ikipoteza kiwango cha soko(market share) kadri siku zinavyokwenda ambalo sasa limefika 29.4% kutoka 45% miaka kumi iliyopita.
Nini kinaikumba kampuni ya Vodacom pamoja na uzoefu wake kwenye sekta ya mawasiliano Tanzania anaangukia pua?
Hii movie mpya ya Tigo inaeleweka? Kuna wakati waswahili wanasema bora lawama kuliko fedheha.Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Sitholizwe Mdlalose amejiuzulu nafasi hiyo ambapo atatizimiza miezi nane tangu mtangulizi wake, Hisham Hendi nae ajiuzulu kwenye nafasi hiyo. Sio ishara njema kwa kampuni kubwa kama Vodacom ambayo watu wanaota kuiongoza.
Mwaka jana Vodacom ilisitisha mkataba wake na TFF kufadhili ligi kuu Tanzania bara kwa kigezo ya hali mbaya ya kiuchumi inayoikumba kampuni hiyo.
Mwaka 2019 tycoon wa biashara bongo, Rostam Aziz aliuza hisa zake zote Vodacom. Mwaka huu kanunua Tigo/Zantel.
Vodacom imekuwa ikipoteza kiwango cha soko(market share) kadri siku zinavyokwenda ambalo sasa limefika 29.4% kutoka 45% miaka kumi iliyopita.
Nini kinaikumba kampuni ya Vodacom pamoja na uzoefu wake kwenye sekta ya mawasiliano Tanzania anaangukia pua?
Vodacom ni kampuni ya makaburu,acha uwongo uwongo na magu wakoKampuni ya CCM hiyo.Rostam alijimilikisha hisa za chama vofacom mwendazake akamtight kwenye uhakiki na wamali za chama pamoja na channel ten ndio maana alijifanya anauza hisa zake kumbe anarudisha kwa wenyewe.
hahahah mie wamenidokolea 100Kawaida yao yaani hizo 200 wanaibia wengi sana
Sijui wanafeli wapi.AIRTEL Ni muda wao Sasa wa kuboresha zaid huduma zao ili watake over
Kwani miiko ya Tanu inasemaje kuhusu kiongozi wa umma kuwa na hisa kwenye makampuni......huku si ni sawa na kumdhihaki baba wa taifa.Waziri Mkuu alinunua hisa za mil 10.
Hahah ndio maana azimio la Arusha hawataki kabisa kulisikia.Kwani miiko ya Tanu inasemaje kuhusu kiongozi wa umma kuwa na hisa kwenye makampuni......huku si ni sawa na kumdhihaki baba wa taifa.