Mkurugenzi mkuu mwingine ajiuzulu Vodacom. Mtandao unaelekea shimoni?

Duuh vodacom sitaisahau maana kipindi hicho inakuja ndio ujana nao ulikua unashika kasi kama moto kwenye nyika.

I miss those old good days.
 
Walionunua Hisa za Voda wanaenda kuwa masikini wa kutupa, watakula hasara, pia Hisa zao haziuuziki
Kuna jamaa nilimpa angalizo kwenye hizi hisa
Nilimwambia ingekuwa ni voda wenyewe wameingia kwenye hili soko sawa ila kwa kusukumiziwa huko na wamiliki wake wanajulikana sarakasi zao mda tu ndio utakaoongea
 
Ilipelekwa kule .. . Sasa inarudishwa kwa wenyewe.. ... Mkorofi keshaondoka zake.
 
Huu mtandao binafsi nimeshaacha kuutumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…