Mkurugenzi mkuu mwingine ajiuzulu Vodacom. Mtandao unaelekea shimoni?

Voda walibebwa sana na mapato ya m-pesa ila baada ya serikali kuweka tozo kwenye miamala matumizi ya m-pesa yameporomoka kwa speed ya mwanga
 
Ajiuzulu si ameshiba, mtaani watu kibao wanatamani nafasi hio
 
Kampuni ya CCM hiyo.Rostam alijimilikisha hisa za chama vofacom mwendazake akamtight kwenye uhakiki na wamali za chama pamoja na channel ten ndio maana alijifanya anauza hisa zake kumbe anarudisha kwa wenyewe.
 
Hii movie mpya ya Tigo inaeleweka? Kuna wakati waswahili wanasema bora lawama kuliko fedheha.
Hivi nani anaangalia ethical part ya businesses na businessmen wa Tanzania? Kuna wakati ni ngumu sana for a proper corporate entity to fight the companies that don't have the words " business conduct" in their agenda
 
Kampuni ya CCM hiyo.Rostam alijimilikisha hisa za chama vofacom mwendazake akamtight kwenye uhakiki na wamali za chama pamoja na channel ten ndio maana alijifanya anauza hisa zake kumbe anarudisha kwa wenyewe.
Vodacom ni kampuni ya makaburu,acha uwongo uwongo na magu wako
 
Vodacom ndo mtandao naotumia na hakuna kizuri kisichosemwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…