Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mh; Kassim Majaliwa leo amejiunga na wananchi katika ununuzi wa hisa za Vodacom. Kwa siasi cha sh milioni 10. Waziri Mkuu amesema amemnunulia mkewe hisa hizo. Aidha Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuwataka watanzania kuona umuhimu na faida za...