mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Ama sisi tutajifunza kinywaranda kwa lazima au wao watajua kiswahili kwa lazimaa all in all lazima pisi zitaliwaNaona watu mbalimbali wanasubiria pisi za rwanda zije kuingia MMU na love connect. Sema najiuliza kimyakimya, wadau wote hao lugha ya malkia inapanda??? [emoji848][emoji848]
Hata ukikazana kuangalia TBC usiku na mchana,siku ikifika lazima wajumbe wakukate.Nimeenda Wasafi... miziki!, narudi TBC...Bango!.
P
Hivi kwenye bunge huwa mnaangalia nini ?Asante kwa taarifa, mimi niko Bunge live, lakini kwa vile ni Mkuu Max, ngoja tuangalie...
P
Melon anaifungua Jf , kale msuli kwa Ras Simba ili ufanisi wa Kazi uwepo.Nasubiri pisi za rwanda sasa boss Maxence Melo kasema nchi 8 zinaongezwa rwanda itakuepo tu
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
"Kwalo" ni mguu wa kuku, unamaanisha Baba Levo anashindia miguu ya kuku ndiyo ulichomaanisha kwenye uandishi wako?Acheni dharau nyie kwann Baba Levo Ana kula kwalo
Nje ya mada Bagheshi umezaliwa mwaka gani?Asante kwa taarifa, mimi niko Bunge live, lakini kwa vile ni Mkuu Max, ngoja tuangalie...
P
Kwa google translate atakuwa wapi?Naona watu mbalimbali wanasubiria pisi za rwanda zije kuingia MMU na love connect. Sema najiuliza kimyakimya, wadau wote hao lugha ya malkia inapanda??? 🤔🤔
Kama ni mnene wasahau mkuu sisi ndo tutafaidi pisi zaoKwa google translate atakuwa wapi?
Aki nawapenda wanyarwanda as ni warefuuu
Ushaambiwa wasafi FM ...mkuu vaa miwani usilazimishe unaumiza leziAsante kwa taarifa, mimi niko Bunge live, lakini kwa vile ni Mkuu Max, ngoja tuangalie...
P
Pascal Mayalla Nyanda nataka kuufahamu umri wako umezaliwa mwaka gani wewe ni public figure.Nje ya mada Bagheshi umezaliwa mwaka gani?