Mkurugenzi Mpya TPA, Bw. Erick Benedict Hamis amewahi kufaulu katika lipi?

Mkurugenzi Mpya TPA, Bw. Erick Benedict Hamis amewahi kufaulu katika lipi?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Niombe mwenye CV ya Mkurugenzi Mpya wa TPA lakini pia tupate experience yake pamoja na Miradi au ofisi alizowahi kuhudumu na mafanikio au mabadiliko aliyosababisha katika ofisi hizo.

Tumekuwa na wateule wa Rais ambao hawajawahi kufanikiwa popote walipowahi kufanya kazi, lakini pia utamaduni wakutumia vyeti vya taaluma nao umetukwamisha kwenye mambo mengi, utaratibu mmoja wakutumia makada wa CCM pia nao umelididimiza Taifa.

Ningependa kujua huyu Bwana huko alikokuwa alifanya nini hadi tumkabidhi bandari zetu?

Ukitafuta taarifa zake mitandaoni haupati ile flavour ya kupata nafasi ya Mkurugenzi wa bandari. Tukumbuke ili ni lango kubwa la uchumi wetu.
 
Poor you na kauli yako ya hovyo.Unafikri uongozi ni fadhila au hisani.
Fahamu kwamba Serikali iko kwa mujibu wa katiba na wameajiriwa na wananchi wanaowalipia mishahara yao kupitia kodi wanazokusanya.

Ukikua utafahamu wajibu wa raia mzalendo ni kuitaka serikali iwajibike kwake kwa uwazi unaostahili kwa maslahi ya nchi.
Kuongoza watanzania kazi sana, Mama angebaki na wateule wote walioteuliwa na hayati bado mngepiga milunzi sasa ameamua kubadilisha kidogo bado hamridhiki.
 
Wakosoaji wanatamani wao ndio wateuliwe ila na mimi ningependa kufahamu zaidi ya kutukana mitandaoni ni nini wakosoaji hawa WA kila jambo wamelifanyia Taifa hili.

Labda wanataka wapate uteuzi kwa umahiri wa kukashifu mitandaoni.
Taifa bila wakosoaji ni Taifa mfu msione kero

Yule Dogo aliyesema dawa ya Lissu ni Sindano ya Sumu zamu yake lini?
 
Kama umetumia takwimu za awamu ya Tano nakukumbusha hata Bodi ya Mikopo ilitoa gawio japo kuna watu walikuwa wamekosa mikopo ,ATC walitoa hadi gawio kumbe imepigwa 'tanganyika jeki' ya Mabilion
Alifufua shirika la Marine Services lilikuwa mbioni kubinafsishwa. Shirika lilikuwa linapewa ruzuku na Serikali lakini kwa sasa linajiendesha na lina Meli za kutosha ziwa ni.
 
Back
Top Bottom